Je umewahi ona wahanga wamekosa mahitaji kisa kusubiria michango?
Michango ni hiari kulingana na watu walivyogusa.
Serikali inawatibu Bure,imegharamia masishi,imewaokoa nk ila haiwezi wapa pesa Kwa sababu sio wajibu wake but wafiwa Watapata pole.
Serikali ya Suluhu haijawahi kula pesa za wahanga kama serikali ya Mwendazake alipokula pesa za wahanga wa tetemeko.
Jana nilifurahi sio Kwa sababu ya Taifa Stars ila Kwa haters kuumbuka maana mlitaka Stars isifuvu mumzodoe Rais.
Kwa taarifa yenu tuu mtaumia sana yaani mnavyoongeza chuki ndivyo nyota inang'aa.
Waulizeni Machadema wako wapi saizi ,Samia ana leadership intelligence na nyota Kali sana ๐คฃ๐คฃ๐๐
View: https://x.com/SuluhuSamia/status/1858906985141317698?t=ZntfwMOtSTLOTPFaM56rZg&s=19