Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeipiga hii picha mwenyewe juzi alafu unasema ni ya Zamani? Kweli Bongolala ni bongolala tu. Yani mkishashikwa makende mlichobakia nacho kila mara ni kwamba picha ni a Zamani. 😂 😂
Umeona huo ukuta hapo ambao hauna rangi hiyo ni nyumba ya mama Mkapa hapo karibu na junction ya kwenda Shant na Moshi club hapo pote lami. Hunidanganyi kitu mitaa hiyo.
 
Bro, hapo ni Moshi na nimeipiga picha mwenyewe. Hapo pembeni kulia ni gari langu nililokuja nalo. Yani nyinyi ni mazuzu kweli. Hamjaitembea nchi yenu mimi mgeni nawaonyesha ilivyo. 😂 😂 😂

Yani hivi kulingana na akili zako jina linalofaa kuandikwa Moshi ni Moshi tu? Kwa hivo ile guesthouse ya Isiolo Motel haipo Moshi, ipo Isiolo? Yani huna akili kabisa, ni kama unafikiria kwa makalio.😂😂😂

Hiyo ni Mboya Petrol station iliyo Moshi. Haimaanishi hapo ni Mboya wee boya.

Proof hii hapa - na mtembee nchi yenu mpo humu mnabishana kila siku wakati hata nchi yenu yenyewe hamuijui. Mnajua tu Dar na vijijini mlimotoka. 😂 😂 😂
View attachment 3113390
hatuna ukabila kama nyie ndio mana jina la mboya <ukoo> unawezalikuta mkoa mwingine na likiwa na mana hiohio bila kuathiri kitu, kiufupi tuetapakaa kote tz nzima kabila zote tumechanganyana kitu kwenu hamuwezi.
 
hatuna ukabila kama nyie ndio mana jina la mboya <ukoo> unawezalikuta mkoa mwingine na likiwa na mana hiohio bila kuathiri kitu, kiufupi tuetapakaa kote tz nzima kabila zote tumechanganyana kitu kwenu hamuwezi.
Mwambie huyu hapa anaitwa Malaika Cute. Mama Yake Mchaga, Baba yake Msukuma, Wazazi wake Waislam lakini kalelewa na Babu zake Wakristo.

1727967971684.jpeg
 
Umeona huo ukuta hapo ambao hauna rangi hiyo ni nyumba ya mama Mkapa hapo karibu na junction ya kwenda Shant na Moshi club hapo pote lami. Hunidanganyi kitu mitaa hiyo.
Lami yenyewe iko wapi basi? Ama nimeedit picha na photoshop nikaitoa? 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom