Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwale Stadium taking shape.

May be an image of 11 people
 
Yves kapitia barabara Class A and B na ni za vumbi. Hiyo barabara ya Kenya ni unclassified road yani kichorochoro. It's not even wise to tarmac the road because it's a forest road and that's not good for the environment. Tazama upande wa Tanzania kuna settlement, upande wa Kenya ni msitu.
View attachment 3113379
Flimsy excuse
 
Haya, niambie hiyo barabara ni class gani? Yves kapitia hii barabara hapa kutoka Kigoma hadi Mpanda na ilikuwa vumbi tupu. Barabara Class B - Yani National Trunk Road. Wewe mjuaji niambie hiyo barabara ya Kenya unayoiponda ni class gani?

View attachment 3113438
Umesema hiyo barabara yenu haina lami kisa ni pori, sasa niambie kati ya hii ya Tanzania ambayo ipo under construction na hiyo yenu ambayo hata haina classification yoyote ipi ina makazi ya watu wengi? Kama makazi ya watu ndio kigezo cha kujenga barabara ipi inapaswa kujengwa haraka

Tanzania
download.png


Kunyaland
Screenshot_20241002-194331.jpg
 

Attachments

  • download.png
    download.png
    1.9 MB · Views: 14
Will Take Tanzania hundred of years to develop such stadiums in interior areas like Mtwara and Kigoma๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nangwanda sijaona stadium Mtwara ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
View: https://www.instagram.com/reel/CsqvgGUIkfp/?igsh=MThtdHRpYzM4enFkbw==.

New lake Tanganyika stadium Kigoma. ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
View: https://youtu.be/k4IO_0DcFss?si=l-14OEgyc4b79mCU. Nyinyi ndio mlichelewa mzee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ wewe unaeza leta any sports complex 1000km from Nairobi.? Sio lazima iwe ni football stadium.
 
Back
Top Bottom