ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kaka bora niishi na mbuzi au kuku lakini sio mkenya 😂😂😂😂😂
labda watafute mfadhili mwingine wapo wengi kama kina p didy
kaka bora niishi na mbuzi au kuku lakini sio mkenya 😂😂😂😂😂
Sasa kabila zimeingilia wapi? Umesoma post ukaelewa ama unabwabwaja tu? Kawaeleze wenzako wanaopinga hapo sio Moshi kisa wameona neno Mboya. 😂 😂hatuna ukabila kama nyie ndio mana jina la mboya <ukoo> unawezalikuta mkoa mwingine na likiwa na mana hiohio bila kuathiri kitu, kiufupi tuetapakaa kote tz nzima kabila zote tumechanganyana kitu kwenu hamuwezi.
Exactly.Ok kwahiyo wanaongeza Lane moja moja kila upande sio?
Sometimes, some people try to hide their ineptness, lack of knowledge and embarrassment from being exposed in a joke. That's what you're trying to do but it's not working.
china na tanzania nimewasaidia bure.Nje ya mada kidogo,naomba kunyan wakagoogle kujua kampuni ya sinota inamilikiwa na kina nani
Dogo projects huko Kenya hakuna?Lami yenyewe iko wapi basi? Ama nimeedit picha na photoshop nikaitoa? 😂 😂 😂
wewe ndio huelewi kitu kenmge wewe hio mada ilikuwa ya jana na umeitolea majibu leo pia jana umewekewa sehemu nyingine inaitwa mboya ndio maana na mimi nikakuambia kama hapo ni uchagani sawa haina mana kuwa hamna sehemu hapaitwi hivyo. Mimi ni mchaga na tumesambaa sana kukuta eneo inaitwa kwa tairo au kwa mushi na halipo mkoa wa kilimanjaro ni kawaida .Sasa kabila zimeingilia wapi? Umesoma post ukaelewa ama unabwabwaja tu? Kawaeleze wenzako wanaopinga hapo sio Moshi kisa wameona neno Mboya. 😂 😂
Shida yako we jamaa unakuja bongo na mikogo mingi kama vile unatoka Scandinavia, USA, EUROPE.Sometimes, some people try to hide their ineptness, lack of knowledge and embarrassment from being exposed in a joke. That's what you're trying to do but it's not working.
Inatanuliwa ilingane na ile ya Kimara-Kibaha 8 lanesHivi from ubungo to kimara inapanuliwa kuwa njia ngapi maana sasa hivi ni 6 lanes excluding service roads.
Yeah plus service road,watembea kwa miguu.Ok kwahiyo wanaongeza Lane moja moja kila upande sio?
Nenda hospitalini, huenda una ugonjwa wa akili. 😂 😂wewe ndio huelewi kitu kenmge wewe hio mada ilikuwa ya jana na umeitolea majibu leo pia jana umewekewa sehemu nyingine inaitwa mboya ndio maana na mimi nikakuambia kama hapo ni uchagani sawa haina mana kuwa hamna sehemu hapaitwi hivyo. Mimi ni mchaga na tumesambaa sana kukuta eneo inaitwa kwa tairo au kwa mushi na halipo mkoa wa kilimanjaro ni kawaida .
Machungu ya nini kaka? 😂 😂 😂Shida yako we jamaa unakuja bongo na mikogo mingi kama vile unatoka Scandinavia, USA, EUROPE.
Kumbe unatoka linchi lenye mji mmoja na mji huo umejaa uvundo.
Na Bongo by miles ina infrastructure za kisasa hizo hizo ambazo mnajenga Bongo inawapiga gape.
Mnajiita nchi tajiri ila mna slums na Pipelines kama zote, Food insecurity ya kutosha Nchi Tajiri gani inasumbuliwa na njaa? Hamuwezi finance miradi hadi mikopo na GDP yenu kubwa plus Shilling kubwa?
Umeenda moshi umeupachika Highest standards of Livings, kama vile unaongelea Dar.
Alafu Sisi tushakataa vijiji kukosa barabara?
Mbona tupo tunakiri Zamani tulikua tunazungikia Nairobi ila not nowdays ila ukute hapo unahold ile mentality tuliyokua tunapitia NBO.
Amka kijana Bongo inakimbiza Ndani ya hii miaka 7 ya Battle development za Tanzania zinavuka $50bil nyie ziko wapi zaidi ya Madeni?
Rais wa Sumsung Yupo Bongo. Wanaenda kwenye pesa tu.
View: https://x.com/ikulumawasliano/status/1841820569467052157
kumbe ni mazungumzo nilidhani tayari😂😂
over 1b ksh zimeteketea kwenye huo uchafu kweli kenya ni nchi ya kuzimu😂😂Kwale Staidum coming on very well.
Roofing ongoing, mambo ya kunyeshewa na kuchomwa na jua tumeachia wachawi wa Tanzania.
View attachment 3114432