Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwale Stadium taking shape.

May be an image of 11 people
Hakuna cha ajabu hapo. Taa zote zinamulika kwenye majukwaa. Kwani mpira unachezwa kwenye majukwaa?? Pitch gizaa..
 
Ukiacha bloggers hadi Chawa wa Kenya wanatamani wangezaliwa Bongo, alafu hizi jamaa humu bado zimeshupaza shingo? Amkeni nyie akina Teargas , njooni muwe hata chawa wa Chairman ichoboy01 hamtalala njaa……..mwenzenu ndio anatoboa hivyo shauri yenu😅😅😅
Mm I'm 100% sure hakuna mtanzania akiulizwa unataka uzaliwe wapi kati ya Tanzania au Kenya alafu akachagua Kenya ila more than 3/4 ya wakenya wakifa alafu wakapewa option wazaliwe Tanzania au Kenya watachagua Tanzania.
 
Uongo wote tunafichua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi huwa najiuliza siku zote hawa huo mtandao wa lami kilometers hizo wanazitoa wapi?
Maana ukiangalia barabara ndefu kwao ni ya North kuelekea Ethiopia na bado haijaisha, malaba, kisumu na Mombasa ambazo kwa ujumla wake hazifiki hata 3000km sasa a big chunk ya hizo barabara wanazojinasibu nazo ziko wapi kama hali ndio kama hii 👆
Jibu la harakaharaka wanasiasa wamekula hela sasa wana justify on paper 🤣🤣🤣🤣
 
Tukianza kupost foreigners wanaokuja Kenya na wanaiona paradise si mtatuchoka humu? Tofauti hizi vitu tulishaavizoea, nyie ndio mmeanza kuviskia. 😂 😂
Kwa kipi mlichonacho hadi mzungu afike aone hapo kundurenda republic ni paradiso.? 😂😂😂 vitu zenye mna brag humu kutuzidi ni expres way, je mzungu aone ajabu kuhusu barabara.? 😂😂😂 au gorofa.? 😂😂😂
 
Mtaanza kuokota picha za vichorochoro Kenya mjifyrahishe eti hamna Barabara Kenya kisa tuliwaumbua jinsi Barabara zenu nyingi ni vumbi. Hii hapa barabara kwenye mtaa wa Kifahari wa Shanty Town, Moshi na ni vumbi tupu.🤣🤣

View attachment 3114086
Hiyo picha ni ya zamani hapo kote kuna lami hapo sasa hivi.
Na njia kubwa ya kwenda Shant town umeiacha hapo nyuma kidogo mkono wako wa kukia all tarmac.
 
Weka ushahidi hapa kwa faida ya wote hatutaki maneno ya upande wa kanga hapa
 
Back
Top Bottom