Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndani ya miezi mitatu tumekusanya Tsh 7.79 sawa na $2,858,715,541.30 Tunakuja kwa kasi sana.


1727855724690.png
 
watu wanataka SGR sio expressway mzee SGR kupeleka malaba imewatoa kamasi mpaka leo 😂😂😂😂😂😂

sahvi hamuna mradi hata mmoja mumeona mupost za uganda sasa😂😂

juzi mulikua munashangilia SGr inajengwa kwenda malaba ya iko wapi hio SGR
Wanafikiri funding ya SGR ni sawa na kula mokimoo 😁
Sasa hivi serikali inaomba diaspora wa fund Jua Kali Intanashonali Airport baada ya deal la Adani ku collapse 🤣🤣🤣
 
Wanafikiri funding ya SGR ni sawa na kula mokimoo 😁
Sasa hivi serikali inaomba diaspora wa fund Jua Kali Intanashonali Airport baada ya deal la Adani ku collapse 🤣🤣🤣
watamlipa adani pesa nyingi sana wakivunja mkataba 😂😂😂😂
 

View: https://vm.tiktok.com/ZGd1nSdS5/ ukiangalia vizuri video ya jamaa utajua how kundustan ni maskini,upande wa TZ full tarmac road upande wa kundusta ni vumbi tupu,hawa wangese ni maskini sana kwa kujitapa sasa eti wana network kubwa ya barabara kuliko TZ while in ground ni tofauti

Bongolalas mnakuanga petty as f*ck. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum ikona a town on that borderline while on the Kenyan side Oliotoktok town haiko kwa border line, the borderline is barely inhabited, in fact ni msitu ya KFS. That's why hakuna customs office hapo.
 
Back
Top Bottom