muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,852
Watuoneshe hiyo isiolo ndani ikoje 🤣🤣
Watuoneshe hiyo isiolo ndani ikoje 🤣🤣
Old Nakivubo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ruto ni mwezi 😂😂😂😂
Ndo maana mnapakwa sana mafuta!!Kenya has been admitted to International Ice Hokey Federation (IIFHC). The first and only from East Africa.
Which Sport is Tanzania good at?
View attachment 3109559
View attachment 3109561
Hilo swala sio la 🇹🇿 pekee,Africa nzima inafanya biashara kubwa zaidi na mataifa ya Nje kuliko Nchi za Afrika zikiwemo jirani.
Katika mazingira ambayo Kila siku Kuna mizozo ya Ushindani usio na Tija baina ya Nchi za Africa sio jambo la ajabu Kwa situation kama hizo.
Niliwahi soma wanasema sababu ni kuwa na bidhaa au Huduma zinazofanana baina ya Nchi ndio inaleta Changamoto 👇👇
View: https://x.com/The_EastAfrican/status/1839597649135026477?t=r96zMHnaMTphsmHcwAglvg&s=19
Note: Kwa Sasa Kuna makubaliano ya kuhimiza intra-Africa trade via AfFTA sijui kama itafaulu.
Na ndio next president, huwa anaitukana Kunyaland kama chupi yake lakini sijawahi kumsikia akiongea ujinga kuhusu Tanzania zaidi ya kuimwagia sifa kedekede eti ndio nyumbani kwao 😂😂😂Huyu Mzee na Mwanae wote Watanzania 😎😂
CBD ya ghorofa tano kando ya barabara hunimaliza. 🤣 🤣 🤣Wewe niambie ni wapi pameachwa nje kwenye hii picha ya Dar. Kijitonyama hadi Posta yote ndaniView attachment 3110009
Toka siku nyingi tumekua tukifanya zaidi biashara na DRC kuliko nchi yoyote EAC ni hivyo tu tulikua wote SADC kwa hiyo data zilikua interpreted as SADC, ni hivyo tu kajoin EAC ndio ikatafsiriwa hivi ila ni wazi Tanzania ndio inadominate region yote hii economically and logisticallyKizungu balaa.
Wewe umeelewa nini?I have already told him that. Yani jamaa hajaelewa kabisa taarifa aliyoleta inasemaje. Alafu alivyo mjinga hataki arekebishwe
😂😂😂😂 Dah! Kisumu inazidiwa mpaka na Ruaha airstrip kwa number of flights na passengers 😂😂Kajifanya mjanja kaweka Nairobi terminus enzi za uzinduzi eti Kisumu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Dah! Kisumu inazidiwa mpaka na Ruaha airstrip kwa number of flights na passengers 😂😂
HOMELESS WORLD CUP 🤣🤣🤣🤣🤣
Ukiondoa zile za wachina na Waingereza, Nairobi inabaki na ghrofa?CBD ya ghorofa tano kando ya barabara hunimaliza. 🤣 🤣 🤣
You are ignorant by the way. I see it.Bro, why are your comments filled with anger? 🤣 🤣 🤣
I said what I said and if it hurts your feelings then that's unfortunate for you because I don't care.
'Local miners' are wealthy by luck. There's nothing genius about getting rich from local mining of gold. You could put significant gold deposits anywhere on this planet and some locals will become rich from it. I even gave you an example of failed countries like DRC and Southern Sudan with gold deposits that have numerous gold millionaires. It has nothing to do with how well a country is run. Take that to the bank. Hizo story zako za hasira hazibadilishi uhalisia.
Can you define the word LUCK. IN ENGLISH LANGUAGE.Bro, why are your comments filled with anger? 🤣 🤣 🤣
I said what I said and if it hurts your feelings then that's unfortunate for you because I don't care.
'Local miners' are wealthy by luck. There's nothing genius about getting rich from local mining of gold. You could put significant gold deposits anywhere on this planet and some locals will become rich from it. I even gave you an example of failed countries like DRC and Southern Sudan with gold deposits that have numerous gold millionaires. It has nothing to do with how well a country is run. Take that to the bank. Hizo story zako za hasira hazibadilishi uhalisia.
Eggzaited eggzelent na matakataka mengine 😂😂😂Mwambie aseme "People of Kenya" utasikia "Pipol of Kenya" 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwanza Isiolo CBD ndio hii 😂😂😂Watuoneshe hiyo isiolo ndani ikoje 🤣🤣
Eggzaited eggzelent na matakataka mengine 😂😂😂
Tu nguruu meis wea ngetingi zeraz bai ngivingi ass sambia 🤣🤣🤣
View: https://x.com/Cjamehk/status/1726328019332301277?t=FbClg_glNymC1pfPeoF1jg&s=19