Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Ngoja tuziweke pamoja ili wajue haiko moja 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20240929-105024~2.png
DSC_0401.JPG
 
Hilo swala sio la 🇹🇿 pekee,Africa nzima inafanya biashara kubwa zaidi na mataifa ya Nje kuliko Nchi za Afrika zikiwemo jirani.

Katika mazingira ambayo Kila siku Kuna mizozo ya Ushindani usio na Tija baina ya Nchi za Africa sio jambo la ajabu Kwa situation kama hizo.

Niliwahi soma wanasema sababu ni kuwa na bidhaa au Huduma zinazofanana baina ya Nchi ndio inaleta Changamoto 👇👇

View: https://x.com/The_EastAfrican/status/1839597649135026477?t=r96zMHnaMTphsmHcwAglvg&s=19

Note: Kwa Sasa Kuna makubaliano ya kuhimiza intra-Africa trade via AfFTA sijui kama itafaulu.

Hapa EA ili kufanikiwa ni kuondoa kodi kabisa kwa bidhaa za ndani maana naona hata hiyo AFTA ina vipengele vya documentation ambayo nayo bado ni red tape.
 
Bro, why are your comments filled with anger? 🤣 🤣 🤣
I said what I said and if it hurts your feelings then that's unfortunate for you because I don't care.

'Local miners' are wealthy by luck. There's nothing genius about getting rich from local mining of gold. You could put significant gold deposits anywhere on this planet and some locals will become rich from it. I even gave you an example of failed countries like DRC and Southern Sudan with gold deposits that have numerous gold millionaires. It has nothing to do with how well a country is run. Take that to the bank. Hizo story zako za hasira hazibadilishi uhalisia.
You are ignorant by the way. I see it.
 
Bro, why are your comments filled with anger? 🤣 🤣 🤣
I said what I said and if it hurts your feelings then that's unfortunate for you because I don't care.

'Local miners' are wealthy by luck. There's nothing genius about getting rich from local mining of gold. You could put significant gold deposits anywhere on this planet and some locals will become rich from it. I even gave you an example of failed countries like DRC and Southern Sudan with gold deposits that have numerous gold millionaires. It has nothing to do with how well a country is run. Take that to the bank. Hizo story zako za hasira hazibadilishi uhalisia.
Can you define the word LUCK. IN ENGLISH LANGUAGE.
 
Back
Top Bottom