ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Show us other place ambazo zipo borderBongolalas mnakuanga petty as f*ck. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum ikona a town on that borderline while on the Kenyan side Oliotoktok town haiko kwa border line, the borderline it's barely inhabited, in fact ni msitu ya KFS. That's why hakuna customs office hapo.
kashawakusanya watu sasa anaanzisha chama na yeye yani kenya maskini atabaki maskini na mwanasiasa atabaki kula keki ya nchi mpaka kufa 😂😂😂😂😂
View: https://x.com/morarakebasosnr/status/1841181239749034076?s=46
Haina shida watakopa kwa Joe kumlipa Adani 😁watamlipa adani pesa nyingi sana wakivunja mkataba 😂😂😂😂
View: https://vm.tiktok.com/ZGd1nSdS5/ ukiangalia vizuri video ya jamaa utajua how kundustan ni maskini,upande wa TZ full tarmac road upande wa kundusta ni vumbi tupu,hawa wangese ni maskini sana kwa kujitapa sasa eti wana network kubwa ya barabara kuliko TZ while in ground ni tofauti
Endelea kujifurahisha,border zote upande wa ukunyan ni takataka,kule taveta most of kunyan matibabu,chakula yan mahitaji mengi ya kibinadamu wanayapata holili upande wa TZ,kama hapo rongai ukunyan ni vumbi tupu halafu unadai ni poriBongolalas mnakuanga petty as f*ck. 🤣 🤣 🤣 Bongoslum ikona a town on that borderline while on the Kenyan side Oliotoktok town haiko kwa border line, the borderline it's barely inhabited, in fact ni msitu ya KFS. That's why hakuna customs office hapo.
Hata hivyo hapo ni border ni route ya biashara why no tarmac msitu usiwe kisingizio hata sisi tuna misitu hapo hifadhi ya mlima Kilimanjaro.Show us other place ambazo zipo border
Huyo mkenya kaja na barabara gani mpaka hapo mpakani? Kwani kama kuna msitu ndio hapaswi kuwa na lami? Kwanini kipindi kile mlikua mnaongea shit kuhusu Tanzania yule Yves mzungu aliekua akipita msituni kabisa hapaishi mtu huku barabara ya lami ikiwa under construction mnasema Tanzania hatuna barabara za lami?Hapo ni Rongai. Ninspajua sana hapo. Upande wa Kenya ni msitu, upande wa Tanzania Kuna kitown cha majengo ya mabanda ya mbao kinaitwa Rongai. Hiyo Barabara ya side ya Tanzania ni part of Barabara kuu inayouzunguka Mlima Kilimanjaro. Upande wa Kenya ni kichorochoro Cha msituni ila ukivuka huo msitu unaingia Oloitokitok ambako Kuna Barabara ya lami inayotoka Tarakea Hadi Email. Ulitegemea Kenya tujenge Barabara isiyoserve yeyote?
Tumeshawapita wakundustan kwenye revenue collections GDP fake inapumulia mirijaNdani ya miezi mitatu tumekusanya Tsh 7.79 sawa na $2,858,715,541.30 Tunakuja kwa kasi sana.
View attachment 3112959
Ebu tuonyeshe customs office hapo? Ukipata nafunga hii account. 🤣 🤣 🤣Endelea kujifurahisha,border zote upande wa ukunyan ni takataka,kule taveta most of kunyan matibabu,chakula yan mahitaji mengi ya kibinadamu wanayapata holili upande wa TZ,kama hapo rongai ukunyan ni vumbi tupu halafu unadai ni pori
Mumepita Kenya ya 2022 na data ya 2024 🤣🤣🤣 Enyewe we ni fala.Tumeshawapita wakundustan kwenye revenue collections GDP fake inapumulia mirija
View attachment 3113121
Acha kupiga kelele kijana. Be Objective rather than subjectiveMumepita Kenya ya 2022 na data ya 2024 🤣🤣🤣 Enyewe we ni fala.
So jina likiwa hivyo ndio tayari mmliki?What about Mboya? Mboya ndio mnyama Gani?
Mnaukataa mji wenu🤣🤣🤣
Anyway, I realized many Kenyans own businesses in Tanzania. This guesthouse here called Isiolo is owned by a Kenyan.
View attachment 3112726
Mbona pande yenu haina lami? Na si eti kuna msitu?Show us other place ambazo zipo border
Hueleweki. Jifunze kiswahili sanifu
Wewe hujui tofauti ya objective na subjective, unarusha tu English words ndio uonekane mjanja. You can't use 2022 data against 2024 data in this context, we are dealing with facts. Wewe rudi shule. 🤣🤣🤣Acha kupiga kelele kijana. Be Objective rather than subjective
Jibu swali, mbona pande ya bongoslum haina lami?Hueleweki. Jifunze kiswahili sanifu
Lami za Tanzania zikiwekwa Kenya kila eneo litajaa lami.