Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

What about Mboya? Mboya ndio mnyama Gani?
Mnaukataa mji wenu🤣🤣🤣
Anyway, I realized many Kenyans own businesses in Tanzania. This guesthouse here called Isiolo is owned by a Kenyan.
View attachment 3112726
Na hapa ni wapi kijana?

Unaikumbuka hii ndiyo Mboya uliyodownload ukijifanya Umefika Sijui Mpakani Mara moshi. Wakati ni kijiji huko Tabora
1727869592370.png
 
Mtu yupo anatupigia kelele utadhani Ametoka Scandinavia

Kumbe ametoka huku


Wanatolewa slums wanaenda kuanzisha pipeline, Nchi ambayo mji hauna sewage system ya kueleweka yupo ameingia vijijini kutafuta ubaya wakati sisi Nairobi tu inatosha.

1727870228198.png

1727870392952.png


1727870429449.png

1727870526274.png
 
Huyo mkenya kaja na barabara gani mpaka hapo mpakani? Kwani kama kuna msitu ndio hapaswi kuwa na lami? Kwanini kipindi kile mlikua mnaongea shit kuhusu Tanzania yule Yves mzungu aliekua akipita msituni kabisa hapaishi mtu huku barabara ya lami ikiwa under construction mnasema Tanzania hatuna barabara za lami?
Yves kapitia barabara Class A and B na ni za vumbi. Hiyo barabara ya Kenya ni unclassified road yani kichorochoro. It's not even wise to tarmac the road because it's a forest road and that's not good for the environment. Tazama upande wa Tanzania kuna settlement, upande wa Kenya ni msitu.
Screenshot 2024-10-02 184303.png
 
Back
Top Bottom