Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,100
- 32,922
Unaota ndoto wewe nyang’au.Tutawanyorosha proper.
Unaota ndoto wewe nyang’au.Tutawanyorosha proper.
When was the last time a Tanzanian team defeated Gor Mahia?😂😂🤣😂Unaota ndoto wewe nyang’au.
Built in Kenya by Kenyans at AVA for Tanzanians😍😍😍
View: https://x.com/BusesNation/status/1835278450870948106
Kitambo ndio nini na lini tuliweka?Si kitambo mlikuwa mnaweka ati Tanzania is growing at 7%? What happened? Ama you came back to senses after IMF exposed you for cooking your books?
Haijalishi. Leo Gor Mahia wamebondwa, tena kisawasawa.When was the last time a Tanzanian team defeated Gor Mahia?😂😂🤣😂
Gross loss making 2 years back hii ni habari njema.Wakati Safaricom is posting profits za Ksh63B nyinyi bado mnafurahia Vodacom kupata Ksh 2B profit?😂😂🤣😂
2017-2021 mlikuwa mnasema ati Tanzania is growing at 7%. 2021 IMF iliwaambia muache mchezo cause Tanzania was growing at 4.9%😂😂🤣😂Kitambo ndio nini na lini tuliweka?
Ujinga acha kibera!Hasira peleka kwenu😂😂🤣😂
Back then Uchumi ulikuwa unakua Kwa hiyo figure tena ni kuanzia awamu yote ya JK (2006-2015) & 2016-2019 Wala sio swala ya IMF.2017-2021 mlikuwa mnasema ati Tanzania is growing at 7%. 2021 IMF iliwaambia muache mchezo cause Tanzania was growing at 4.9%😂😂🤣😂
When was the last time Al Ahly win in DarRemember Yanga na Simba wote walikula bao tano mkononi mwa Al Haly 😂😂😂
Kuweka kumbukumbu Sawa, they had 0 shots on Target
What is the difference between Kunya and Burundi? If you struggle for such small project? We’ve countless projects of such magnitude plus countless bigger projects funded without Chinese aid
Kwa hiyo leo Gor Mahia haikubondwa bondwa huko unyang’auni?When was the last time a Tanzanian team defeated Gor Mahia?😂😂🤣😂
ona walivojitia aibu eti hawana ndio wanadanganywa taifa liko happy😂😂😂
labda walipeleka yale ma tetenus yao waarabu wakagoma wakaona wapande coaster za japan
View: https://x.com/bedjosessien/status/1834841020837626214?s=46