Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao machawa ndo wanatuaribia hii nchi...
Nimependa hawa waamerica waliosema kuhusu Tanzania...na ni kweli sikatai kuna shida

Sijui viongozi wetu hiz video wanazitizama hiz?
Wameamua wakimbilie zao Botswana Maskini...

Kenyan na vimbelembele vyao vya kudanganya dunia kuwa wako better than other Africans check wanavyojaribu kuwakaribisha kenya kwa nguvu zote wakiiponda Tanzania na nchi nyingine...wanasahau watu wanafanya research na nashukuru kuna watu wamesema hapo Kenya ni even worse than Tanzania kwa corruption na bureaucracy


Sema na hao waliyatimba. Sisi tunataka kuondoka hapa Tz tukimbie hiz cartels zinazoendesha nchi wao walikuja hapa ( sema walikuja kipindi cha magu)

Taasisi zilizofanya wahame ni Uhamiaji na TRA.

View: https://youtu.be/AbxMwPYKiHU?si=OF9FOZ7DdZGXbmmB

Wasituzoee. Who are them? Serous investors hawapigi domo kwenye YouTube.

Wamarekani tangu lini wakatusema vizuri waafrika? They are black but they are not Africans
 
Namibia Vs Vumbistan😂😂🤣

View attachment 3092751
Kwenye hii issue ya ranking sielewi kwa nini Tanzania haipandi juu, kila siku ni hapo hapo tu.
Yani yata Madagascar wako juu yetu, sijawahi sikia Madagascar kwenye AFCON, Sijawahi sikia timu hata moja ya Madagascar kwenye mashindano ya Caf. Yani hata sielewi huwa wanafanyaje.
 
Kwenye hii issue ya ranking sielewi kwa nini Tanzania haipandi juu, kila siku ni hapo hapo tu.
Yani yata Madagascar wako juu yetu, sijawahi sikia Madagascar kwenye AFCON, Sijawahi sikia timu hata moja ya Madagascar kwenye mashindano ya Caf. Yani hata sielewi huwa wanafanyaje.
Mzee kwenye data manipulatings is another war. Hatujawa na Majasusi wa kazi hii.

Hii ni psychological war but tumeshaanza kuifanyia kazi. In few years tutakuwa vizuri.
 
Hao machawa ndo wanatuaribia hii nchi...
Nimependa hawa waamerica waliosema kuhusu Tanzania...na ni kweli sikatai kuna shida

Sijui viongozi wetu hiz video wanazitizama hiz?
Wameamua wakimbilie zao Botswana Maskini...

Kenyan na vimbelembele vyao vya kudanganya dunia kuwa wako better than other Africans check wanavyojaribu kuwakaribisha kenya kwa nguvu zote wakiiponda Tanzania na nchi nyingine...wanasahau watu wanafanya research na nashukuru kuna watu wamesema hapo Kenya ni even worse than Tanzania kwa corruption na bureaucracy


Sema na hao waliyatimba. Sisi tunataka kuondoka hapa Tz tukimbie hiz cartels zinazoendesha nchi wao walikuja hapa ( sema walikuja kipindi cha magu)

Taasisi zilizofanya wahame ni Uhamiaji na TRA.

View: https://youtu.be/AbxMwPYKiHU?si=OF9FOZ7DdZGXbmmB

Achana na watu kama hawa, hawajui wanachokifanya. Mbona kuna success stories za wamarekani wengi tu hapa Tanzania, kuna wafanyabiashara kutoka kila kona ya dunia na wanapata mafanikio makubwa tu.

Huwezi kuja hapa na mentality yako ya superiority complex halafu uachwe tu. Tatizo la wengi kama hawa wakija huku na vidola 5000 vyao wanaona kama wamekuja kutusaidia. They are always talking about helping Africa, sijui food security wakati wao wenyewe wanajaa tu......

Achana nao hawa!
 
Teargas analeta analog buses 2024 😀 😀 😀

Tanzania we are planing to start robotic bus services.

Kundudwellers bado wanasikiliza nasaha za Mama Ngina
Robotic Buses kwenye vumbi!?
Kweli nimeamini Watanzania wengi vichaa.
Dodoma sasa eti
20240911_052326.jpg
 
Ndio hili sasa, dereva anajiamini kabisa, maanake, anafika Njombe.........
Njombe kwenye vumbi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hata lami moja tu hamna!!!!! Aisee
images (2) (1).jpeg
Screenshot_2024-09-10-13-19-00-22_4937eb900e197f95da98f502ddfb10e1.jpg
 
Back
Top Bottom