The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wakati mnaropoka haya Kenya huduma za kijamii ziko chini.Teargas, hawa ndugu zetu wa kusini wanavituko. Hawajui mbona wao huwekwa kundi la LDC. YAANI HAWANA HABARI MBONA.
NI WAELEZE LEO, VITU VIDOGO VIDOGO (Basic Things) ukipata barabara inatumiwa na mabasi au hata matatu, then hiyo barabara ni main. Kenya huwezi pata Main road hata kama ni Mandera, ama Turkana, inayo pitisha basi ama magari mangine ya abiria iwe haina lami. Hauwezi. Kama wanaushahidi walete tukague.
Lakini Tanzania. Ukifata Iringa hadi Mafinga hiyo barabara pekee iko na lami. Hakuna kwingine. Mikoa na mikoa utatembea hutapata lami. Hizo Iriza huenda zikitumia vumbi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ona hii Tashrifu ikipita Mbewe, 😂😂😂😂.
View attachment 3092374
Hata Njombe usidha kuna lami hata moja. Na kuna Airport sasa unashindwa. Hata Dodoma kwenyewe lami unahesabu tu. Unakuja na Burret Train ukishuka unachukua Honda fumbi tena kilomita 10 aisee!!!!
Njombe sasa
View attachment 3092376
Tembea kijana, nyie bado sanaa.Na wakufata daladala bado wapo sivyo!?
adani kula kichwa hawa mbwa 😂😂😂
View: https://x.com/moneyacademyke/status/1833402502999375942?s=46
View: https://x.com/standardkenya/status/1833369958325117326?s=46
Wakati mnaropoka haya Kenya huduma za kijamii ziko chini.
Jamaa kaleta picha pale watu wamepanga msururu wakisubiri matatu.
Hiko kitu Tanzania haukikuti, Tanzania ina good and sufficient public transport.
Hujatoka hapo huduma za maji,elimu na afya Tanzania viko bora kuliko Kenya.
Tanzania ina low inflation rate kuliko Kenya na Tanzania ina gharama ndogo za maisha kuliko Kenya.
Kenya hamuna cha kuringia ziadi ya magorofa,barabara ambazo hazina manufaa kwa raia na nyingi mnalipia levy ili mpite,mnaringia GDP ambayo 60% ni deni na mnaringia shilingi ambayo inawakandamiza ninyi wenyewe.
Ila mkiambiwa mlete miradi inayowagusa raia hamuna.
Ona unavyochekesha.View attachment 3092399
Unajielewa dogo!?
Basi Lenyewe sasa. Mwendo kasi My shoe.
View attachment 3092401
Nimekusihi uache kabisa kuongelea mambo ya Transport Maana Kundudwellers hawana haki hiyoView attachment 3092399
Unajielewa dogo!?
Basi Lenyewe sasa. Mwendo kasi My shoe.
View attachment 3092401
hapana bro tusitetee kabisa hii issue broBrother soma kuhusu Deception utakuja kunishukuru.
Mkuu hii ishu iko complicated.hapana bro tusitetee kabisa hii issue bro
leo yako kwa mwenzio yatakuja kwako
View attachment 3092399
Unajielewa dogo!?
Basi Lenyewe sasa. Mwendo kasi My shoe.
View attachment 3092401
Bro. Usinilishe maneno ambayo sijayaandika. Mbona na wewe unataka kuwa sehemu ya haya?hapana bro tusitetee kabisa hii issue bro
leo yako kwa mwenzio yatakuja kwako
We unaongea upumbavu gani sijui. 😂😂😂 hakuna moja hapa Tz ambao haujaunganishwa kwa lami, popote pale uendako.Teargas, hawa ndugu zetu wa kusini wanavituko. Hawajui mbona wao huwekwa kundi la LDC. YAANI HAWANA HABARI MBONA.
NI WAELEZE LEO, VITU VIDOGO VIDOGO (Basic Things) ukipata barabara inatumiwa na mabasi au hata matatu, then hiyo barabara ni main. Kenya huwezi pata Main road hata kama ni Mandera, ama Turkana, inayo pitisha basi ama magari mangine ya abiria iwe haina lami. Hauwezi. Kama wanaushahidi walete tukague.
Lakini Tanzania. Ukifata Iringa hadi Mafinga hiyo barabara pekee iko na lami. Hakuna kwingine. Mikoa na mikoa utatembea hutapata lami. Hizo Iriza huenda zikitumia vumbi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ona hii Tashrifu ikipita Mbewe, 😂😂😂😂.
View attachment 3092374
Hata Njombe usidha kuna lami hata moja. Na kuna Airport sasa unashindwa. Hata Dodoma kwenyewe lami unahesabu tu. Unakuja na Burret Train ukishuka unachukua Honda fumbi tena kilomita 10 aisee!!!!
Njombe sasa
View attachment 3092376