Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hilo group Kenya wakitulia wanapita, sema sasa wanatakiwa mechi zao ,a home wafanye hapa ili tuwape support. Huko Malawi nani anawashangilia.
Hata wakija hapa hakuna support watapata kutoka Tanzania, watanzania wamebadilika siku hizi, wanajua marafiki na maadui zao, Kenya ni adui yetu, na nikuambie tu kwenye group lao hawapiti hata kwa dawa, Kenya haina uwezo wa kupata matokeo Zimbabwe wala Cameroon.
 
Hao machawa ndo wanatuaribia hii nchi...
Nimependa hawa waamerica waliosema kuhusu Tanzania...na ni kweli sikatai kuna shida

Sijui viongozi wetu hiz video wanazitizama hiz?
Wameamua wakimbilie zao Botswana Maskini...

Kenyan na vimbelembele vyao vya kudanganya dunia kuwa wako better than other Africans check wanavyojaribu kuwakaribisha kenya kwa nguvu zote wakiiponda Tanzania na nchi nyingine...wanasahau watu wanafanya research na nashukuru kuna watu wamesema hapo Kenya ni even worse than Tanzania kwa corruption na bureaucracy


Sema na hao waliyatimba. Sisi tunataka kuondoka hapa Tz tukimbie hiz cartels zinazoendesha nchi wao walikuja hapa ( sema walikuja kipindi cha magu)

Taasisi zilizofanya wahame ni Uhamiaji na TRA.

View: https://youtu.be/AbxMwPYKiHU?si=OF9FOZ7DdZGXbmmB

Kenya lives rent-free in your heads.
 
Mmezoea nini? Hivi mna football stadium ya 60,000 seater? Hiyo Arusha sii football stadium na ujenzi haujaanza otherwise hamngenyamaza humu.
So, kama sio football stadium kwann football inachezwa hapo, ikiwa fainali za kombe la dunia zinachezwa kwenye olympic stadium we ni nani useme hivyo, nchi zote duniani zinajenga olympic stadiums, klabu pekee ndiyo huwa zinajenga uwanja usio na running track, nyie ni the failed state na ndiyo maana mkawaomba wachina wawape msaada wa uwanja alafu kibaya zaidi mmejenga uwanja usio wa olympic ilihali nyie sio watu wa mpira. Nakuhakikishia huo uwanja utageuka ghost 👻 in next two years after completion mana hamna timu za kutumia huo uwanja na hamna pesa za maintenance.
 
WOTE HAWAJISAFISHI NA MAJI BAADA YA KUJISAIDIA

Nimethibitisha mawazo yangu

1726040059085.png
 
So, kama sio football stadium kwann football inachezwa hapo, ikiwa fainali za kombe la dunia zinacheza kwenye olympic stadium we ni nani useme hivyo, nchi zote duniani zinajenga olympic stadiums, klabu pekee ndiyo huwa zinajenga uwanja usio na running track, nyie ni the failed state na ndiyo maana mkawaomba wachina wawape msaada wa uwanja alafu kibaya zaidi mmejenga uwanja usio wa olympic ilihali nyie sio watu wa mpira. Nakuhakikishia huo uwanja utageuka ghost 👻 in two years after completion mana hamna timu za kutumia huo uwanja na hamna pesa maintenance.
Najua unaelewa Football stadium ni nini unajifanya ngómbe. Ingejengwa hapo kwenu hungenyamaza.
 
Najua unaelewa Football stadium ni nini unajifanya ngómbe. Ingejengwa hapo kwenu hungenyamaza.
Football stadium ndiyo nn mbwa wewe, vilabu vyetu Azam, KMC, Yanga n.k vinajenga viwanja vyao, nyinyi hapa tunapoongea hamna klabu hata moja yenye uwanja, sisi tayari tuna viwanja visivyo na running track, nyinyi hamna lkn bado unaongea mbele yangu.
 
Back
Top Bottom