Hizi buses za Carrier juu sijaziona Tanzania in decades😁Nimekusihi uache kabisa kuongelea mambo ya Transport Maana Kundudwellers hawana haki hiyo
View attachment 3092416
Hizi buses za Carrier juu sijaziona Tanzania in decades😁Nimekusihi uache kabisa kuongelea mambo ya Transport Maana Kundudwellers hawana haki hiyo
View attachment 3092416
La haula! Huu nao ni usafiri wa abiria in 21st century?View attachment 3092482
Hiyo nissan civillian na isuzu yenye chasses ya roli ipi ipo standard kwa usafirishaji wa binadamu?
Kama ulaya Mwanangu.Azam Complex Stadium (Chamazi). Kama England mwanangu ❤️ ❤️ 😘 😘 😍 😍 🇹🇿 🔥 🔥
View attachment 3092516View attachment 3092518View attachment 3092519View attachment 3092520View attachment 3092524View attachment 3092525
Kwanza unapajua hapa!?Tembea kijana, nyie bado sanaa.
Umetafta umechoka. Sasa unafanya nini hii!? Barabara zimefunikwa na landslide wakati wa mafuriko. Haya sasa barabara ipi hiyo!?View attachment 3092475
Wivu ukizidi uwa unafanya mtu awe chizi
Ukaona hiyo ni barabara!?Nimekusihi uache kabisa kuongelea mambo ya Transport Maana Kundudwellers hawana haki hiyo
View attachment 3092416
Hapo jana banaHizi buses za Carrier juu sijaziona Tanzania in decades😁
Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi 😆😆😆More modern my foot? Did modernity change its meaning?
Sasa na utuambie Chalinze mabasi yanapita kwa barabara za vumbi.. Hv kwanza hki ulichokiandika umekitoa wapi🤣Teargas, hawa ndugu zetu wa kusini wanavituko. Hawajui mbona wao huwekwa kundi la LDC. YAANI HAWANA HABARI MBONA.
NI WAELEZE LEO, VITU VIDOGO VIDOGO (Basic Things) ukipata barabara inatumiwa na mabasi au hata matatu, then hiyo barabara ni main. Kenya huwezi pata Main road hata kama ni Mandera, ama Turkana, inayo pitisha basi ama magari mangine ya abiria iwe haina lami. Hauwezi. Kama wanaushahidi walete tukague.
Lakini Tanzania. Ukifata Iringa hadi Mafinga hiyo barabara pekee iko na lami. Hakuna kwingine. Mikoa na mikoa utatembea hutapata lami. Hizo Iriza huenda zikitumia vumbi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ona hii Tashrifu ikipita Mbewe, 😂😂😂😂.
View attachment 3092374
Hata Njombe usidha kuna lami hata moja. Na kuna Airport sasa unashindwa. Hata Dodoma kwenyewe lami unahesabu tu. Unakuja na Burret Train ukishuka unachukua Honda fumbi tena kilomita 10 aisee!!!!
Njombe sasa
View attachment 3092376
BRT wakundustan walijaribu kuiga ili waipite Tanzania wakaishia kuwehuka kwa kupaka lipsticks barabarani na kutokomea kusikojulikana, hawakujua BRT ni system
View: https://youtu.be/EiGCXknIyhg?si=G-MkLNDn3NFIz54k
Unajiaibisha. Dunia yote inajua transport system in Kundustan is horribleBRT kuwa nayo sofa tu ila kwa uchumi hamna lolote. Wakenya hawataki sifa za kijinga, hiyo biashara ya Matatu pekee ni Industry yenye mapato kuzidi mapato ya serikali yenu. BRT sioni hata Ikijengwa Kenya. Na tena sio lazima. Sio lazima nchi kuwa na Bullet Trains, hata USA hawana, kama zenu hizo mnashuka Dodoma mkichukua Honda kwa vumbi. Miezi mitatu imegwama mara kumi na kitu. Kenya inapiga kazi kimya kimya. Ukishushwa kwenye stesheni unapanda commuters Train au basi, unauhakika na safari. Mbona Watz hamna akili!?
View attachment 3092551
1 SGR
2 MGR (Commuter Rail)
View attachment 3092552
View attachment 3092555View attachment 3092556
Haya leta hiyo cave ya Dodoma ambayo hata mchana lazima taa ziwashwe.
Yaani area moja ya Nyali, not even inside Nyali itself, is far bigger and developed than ka Mwanza town, .., wanajua hapa ni nje ya CBD ya Mombasa kabisaa?.., inland sio island..,
Trivial information. Hata Buseresere Geita ipo na majengo.Yaani area moja ya Nyali, not even inside Nyali itself, is far bigger and developed than ka Mwanza town, .., wanajua hapa ni nje ya CBD ya Mombasa kabisaa?.., inland sio island..,
View attachment 3092566
View attachment 3092568
Umejibu ilimradi tu eti? hehehe.., Tanzania taifa la jiji moja na mafukara wengi heheheTrivial information. Hata Buseresere Geita ipo na majengo.
We need Big and Vital projects
Humu umeandika upuuzi mtupu 😂😂😂😂.BRT kuwa nayo sofa tu ila kwa uchumi hamna lolote. Wakenya hawataki sifa za kijinga, hiyo biashara ya Matatu pekee ni Industry yenye mapato kuzidi mapato ya serikali yenu. BRT sioni hata Ikijengwa Kenya. Na tena sio lazima. Sio lazima nchi kuwa na Bullet Trains, hata USA hawana, kama zenu hizo mnashuka Dodoma mkichukua Honda kwa vumbi. Miezi mitatu imegwama mara kumi na kitu. Kenya inapiga kazi kimya kimya. Ukishushwa kwenye stesheni unapanda commuters Train au basi, unauhakika na safari. Mbona Watz hamna akili!?
View attachment 3092551
1 SGR
2 MGR (Commuter Rail)
View attachment 3092552
View attachment 3092555View attachment 3092556
Haya leta hiyo cave ya Dodoma ambayo hata mchana lazima taa ziwashwe.
Jamaa analazimisha nyeusi kuwa nyeupe 😂😂😂Umejibu ilimradi tu eti? hehehe.., Tanzania taifa la jiji moja na mafukara wengi hehehe
Kama Tanzania ipo na jiji moja basi kundustan ipo na majiji negative 3Umejibu ilimradi tu eti? hehehe.., Tanzania taifa la jiji moja na mafukara wengi hehehe
Arusha is definitely more developed 👇🏾Yaani area moja ya Nyali, not even inside Nyali itself, is far bigger and developed than ka Mwanza town, .., wanajua hapa ni nje ya CBD ya Mombasa kabisaa?.., inland sio island..,
View attachment 3092566
View attachment 3092568