Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Hao machawa ndo wanatuaribia hii nchi...
Nimependa hawa waamerica waliosema kuhusu Tanzania...na ni kweli sikatai kuna shida
Sijui viongozi wetu hiz video wanazitizama hiz?
Wameamua wakimbilie zao Botswana Maskini...
Kenyan na vimbelembele vyao vya kudanganya dunia kuwa wako better than other Africans check wanavyojaribu kuwakaribisha kenya kwa nguvu zote wakiiponda Tanzania na nchi nyingine...wanasahau watu wanafanya research na nashukuru kuna watu wamesema hapo Kenya ni even worse than Tanzania kwa corruption na bureaucracy
Sema na hao waliyatimba. Sisi tunataka kuondoka hapa Tz tukimbie hiz cartels zinazoendesha nchi wao walikuja hapa ( sema walikuja kipindi cha magu)
Taasisi zilizofanya wahame ni Uhamiaji na TRA.
View: https://youtu.be/AbxMwPYKiHU?si=OF9FOZ7DdZGXbmmB
Kuna AA wengi sana hapo TZ,kuna wengine wanakuja wakiwa hawana pesa halafu wanataka mteremko hasa hao youtubers,kuna AA waliokuja na pesa wengi wameyaweza maisha ya TZ na ni wengi mno hasa watu wazima,kuna mmoja namjua yuko arusha,pension yake anayolipwa na serikali ya marekani kwa mwezi inamfanya aishi maisha mazuri mno,hao uliowapost ni maskini halafu wana watoto7 hata huko south awatopaweza