The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Wewe hawatoboi hilo group, mechi ya kwanza wamesuruhu na Zimbabwe hom so lazima waende Harare wakatom.bw.e na lazima waende Yaounde, yn hawatoboi. Wakwanza atakuwa Cameroon, wapili Zimbabwe, hii michuano atleast mwaka huu zitaenda timu mbili ukanda huu, Tanzania na Uganda, tumechoka kuwa pekeetu daily.Vipofu wote hamna kitu hapo tena kundi lenu Lina vibonde watupu except Cameron 😆😆