Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣 🤣 🤣 Kwani hii train ya bongoslum hukwama kila siku. 🤣🤣🤣
Hii ni mara yake ya saba kukwama sasa😂😂🤣😂.

Within 2 months they have already had 7 stalls, I’m trying to figure the number of times itakwama after one year of operation 😂😂🤣😂
 
Hii ni mara yake ya saba kukwama sasa😂😂🤣😂.

Within 2 months they have already had 7 stalls, I’m trying to figure the number of times itakwama after one year of operation 😂😂🤣😂
Ndege zinawasumbua, BRT buses zinawasumbua, running the port inawasumbua nilijua tu hizi train zitawasumbua pia. 🤣🤣🤣
 
daraja la wami?? 😂😂😂😂 anhh jamani
Hao machawa ndo wanatuaribia hii nchi...
Nimependa hawa waamerica waliosema kuhusu Tanzania...na ni kweli sikatai kuna shida

Sijui viongozi wetu hiz video wanazitizama hiz?
Wameamua wakimbilie zao Botswana Maskini...

Kenyan na vimbelembele vyao vya kudanganya dunia kuwa wako better than other Africans check wanavyojaribu kuwakaribisha kenya kwa nguvu zote wakiiponda Tanzania na nchi nyingine...wanasahau watu wanafanya research na nashukuru kuna watu wamesema hapo Kenya ni even worse than Tanzania kwa corruption na bureaucracy


Sema na hao waliyatimba. Sisi tunataka kuondoka hapa Tz tukimbie hiz cartels zinazoendesha nchi wao walikuja hapa ( sema walikuja kipindi cha magu)

Taasisi zilizofanya wahame ni Uhamiaji na TRA.

View: https://youtu.be/AbxMwPYKiHU?si=OF9FOZ7DdZGXbmmB
 
Hao machawa ndo wanatuaribia hii nchi...
Nimependa hawa waamerica waliosema kuhusu Tanzania...na ni kweli sikatai kuna shida

Sijui viongozi wetu hiz video wanazitizama hiz?
Wameamua wakimbilie zao Botswana Maskini...

Kenyan na vimbelembele vyao vya kudanganya dunia kuwa wako better than other Africans check wanavyojaribu kuwakaribisha kenya kwa nguvu zote wakiiponda Tanzania na nchi nyingine...wanasahau watu wanafanya research na nashukuru kuna watu wamesema hapo Kenya ni even worse than Tanzania kwa corruption na bureaucracy


Sema na hao waliyatimba. Sisi tunataka kuondoka hapa Tz tukimbie hiz cartels zinazoendesha nchi wao walikuja hapa ( sema walikuja kipindi cha magu)

Taasisi zilizofanya wahame ni Uhamiaji na TRA.

View: https://youtu.be/AbxMwPYKiHU?si=OF9FOZ7DdZGXbmmB

Mbona si tukiwa kwao mengi tu yanatukuta na hatuendi Youtube kulalamika?
kwao ni worse, taasisi zao ni hovyo mno kwa wageni, inashangaza wanataka huku watretiwe spesho na miafrika mijinga inawapa vichwa.
 
Dodoma

20240911_052326.jpg
 

View: https://youtu.be/vR6Dr8QzPCI?feature=shared
Katika vitu ambavyo naruhusu Wakenya roho zao kuwauma ni huu mradi wa EACOP maana tuliwanyang’anya na ndo ilikuwa last hope yao, leo watasimama kuongea na sisi nini Mombasa Port?! hahah kusini kule tuna project nyingine kubwa, LNG, Mradi wa Chuma, Makaa ya Mawe…..Ifike pahala mtii.😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom