🤣🤣🤣🤣🤣🐖🐖🐖Ona hii piglet.Tofauti na TAZARA ni investment gani ya maana mchina kafanya Tanzania? Imagine after kununua mabasi Yao kwa wengi they are still coming to assemble those buses in Kenya.
Viwanda vya urafiki textile alifungua murkomen!??
🤣🤣🤣🤣🤣🐖🐖🐖Ona hii piglet.Tofauti na TAZARA ni investment gani ya maana mchina kafanya Tanzania? Imagine after kununua mabasi Yao kwa wengi they are still coming to assemble those buses in Kenya.
Huko tulishatoka umedandia gari kwa mbele.We were discussing about fame. Ama ni vile umepata Kipchoge anajulikana sana sasa unataka kubadilisha mada?
Do you know the number of textiles in Kenya owned by Chinese 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐖🐖🐖Ona hii piglet.
Viwanda vya urafiki textile alifungua murkomen!??
I guess ulishindwa huko😂😂🤣😂Huko tulishatoka umedandia gari kwa mbele.
Embu kakifuatilie kiwanda cha urafiki halafu urudi.Do you know the number of textiles in Kenya owned by Chinese 😂😂🤣
Kafuatilie mjadala ndio utajua nilishindwa au laah.I guess ulishindwa huko😂😂🤣😂
Tofauti na TAZARA ni investment gani ya maana mchina kafanya Tanzania? Imagine after kununua mabasi Yao kwa wengi they are still coming to assemble those buses in Kenya.
Wakenya siku hizi ni waimba taarabu, hawana cha maana. Battle imewashindaTeargas acha kutujazia server lete miradi ya maendeleo acha porojo. Au leo uko kwenye hit period nini bwashee
Hii SGR extension ya Kenya itakuwa ya Diesel kama kawaida au ya umeme?
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1831158643758108727?t=psd6PKmwhAmFd2YOEW4z5w&s=19
Leta evidenceDo you know the number of textiles in Kenya owned by Chinese 😂😂🤣
Leta kiwanda au investment yoyote iliyoanza kwenye mradi wenu wa konzaTeargas acha kutujazia server lete miradi ya maendeleo acha porojo. Au leo uko kwenye hit period nini bwashee
Hayo ni maneno ya kujifariji tu kaka, usilazimishe vitu mkuu, mambo yanajieleza yenyewe. Ni athletes wachache sn duniani au celebrities wachache mnoo duniani waliowahi kujulikana na kila mtu duniani wakiwemo Michael Jackson, CR7, Messi n.k lkn walio wengi wanafahamika hapa lkn pale hawafahamiki kutokana na aina ya tasnia aliyopo na mtazamo wa watu katika tasnia hiyo, na mazingira waliyopo watu husika.Kwa hivo Hersi ndio mwenye club zote za mpira bongo? Kwa hivo bila Hersi hakuna mpira bongo?🤣🤣🤣
Kupiga picha hata wewe ukienda kuangalia mpira PSG unaweza tafuta hao mastaa ukapiga picha nao ila kuwekwa kwa page yao uitwe Legend hamna Mtanzania hata mmoja anaweza hilo. Hata Rais wenu hawezi.
Wacha ujinga. Next utasema Hersi amemshinda Ronaldo?
Una akili ya kitoto sana. Never mention kipchoge the legend na huyo Hersi. The respect alone that that name brings to Africa is bigger than the whole football industry of bongoland. Kipchoge name is bigger than the whole Simba club, leave alone Hersi. Ukitaja kipchoge popote hapa ulimwenguni wanamjua, ukitaja Simba wanajua ni yule wa Lion King.🤣
Mchina hawezi kuwapa pesa za kujenga SGR ambayo itamletea yeye mwenyewe competition, mchina kashafunga ukurasa kuhusu SGR ya Kenya
View attachment 3086513
View: https://x.com/ikulumawasliano/status/1831212910561128731?t=f8rA5NvyLj84XKtFpfEKTw&s=19
Faw, Howo, Mercedes, Volvo, Scania, Isuzu, Hino, Fuso, Hyundai, Leyland, Dongfeng, Tata, Foton, Renault, Eicher, Shacman, JAC, Beiben, Man, UD.Kumbe ndo huna aibu umeleta dealership Mimi nimekuletea assembly plant ya Chinese product. Kuna kongani ya viwanda vingi sana vinajengwa na soon mtaanza kuviona dealership tumewaachia nyinyi maana hata tukikuuliza mmeuza ngapi toka muanze kuwa madealer hata 2000 havifiki.
Kuhusu dealership Tanzania Kuna soko la trucks sana kwa sababu ya mizigo Sasa nani achukue uwakala kwa kitu ambacho hakuna soko. Muda ukifika badala utaona watu wanaleta viwanda
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Kituko cha mwaka 2024Faw, Howo, Mercedes, Volvo, Scania, Isuzu, Hino, Fuso, Hyundai, Leyland, Dongfeng, Tata, Foton, Renault, Eicher, Shacman, JAC, Beiben, Man, UD.
Hizi zote zinakua assembled in Kenya, ebu tuambie ni ngapi gani kwa hio list zinakua assembled in bongoslum?
Unaongelea less than 2,000 while Isuzu alone has assembled more than 100,000 trucks😂😂🤣👇👇Kumbe ndo huna aibu umeleta dealership Mimi nimekuletea assembly plant ya Chinese product. Kuna kongani ya viwanda vingi sana vinajengwa na soon mtaanza kuviona dealership tumewaachia nyinyi maana hata tukikuuliza mmeuza ngapi toka muanze kuwa madealer hata 2000 havifiki.
Kuhusu dealership Tanzania Kuna soko la trucks sana kwa sababu ya mizigo Sasa nani achukue uwakala kwa kitu ambacho hakuna soko. Muda ukifika badala utaona watu wanaleta viwanda
Acha wivu kijana. Jana si Teargas alisema mmebeba madeals.Yani kifkra tuna tofauti kubwa sana. Wakati Wakenya wanaghadhabishwa na huu ujinga wa Rais wetu kuitwa China na Rais wa China, Bongolala zinasherehekea eti Rais wao kapiga picha na Rais wa China. Ukienda kwa comments, Wakenya wanauliza maswali, bongolala zinasherehekea. Akili zenu za kitoto sana. Yani kama enzi za Moi vile, ukikutatana na Rais unapiga picha unaibandika sebuleni kwako. 🤣 🤣 🤣