Kichefuchefu wao
Member
- Aug 29, 2024
- 61
- 190
Hersi ni mtu wa fitina sana Kwa nini anambania huyu dogo? Au tumtag Rais amsaidie kama alivyofanya Kwa Feisal? 👇👇
View: https://x.com/abissay_stephen/status/1831243800775118901?t=b72y-yhxrtpkYnZ3NJCFSQ&s=19
Tatizo la Yanga wanajifanya ni klabu yenye malengo ya mbali kuliko klabu zote Africa na duniani kwa ujumla, wamuache kijana akapambane na hali yake.