Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mchina hawezi kuwapa pesa za kujenga SGR ambayo itamletea yeye mwenyewe competition, mchina kashafunga ukurasa kuhusu SGR ya Kenya
View attachment 3086513

View: https://x.com/ikulumawasliano/status/1831212910561128731?t=f8rA5NvyLj84XKtFpfEKTw&s=19

Yani kifkra tuna tofauti kubwa sana. Wakati Wakenya wanaghadhabishwa na huu ujinga wa Rais wetu kuitwa China na Rais wa China, Bongolala zinasherehekea eti Rais wao kapiga picha na Rais wa China. Ukienda kwa comments, Wakenya wanauliza maswali, bongolala zinasherehekea. Akili zenu za kitoto sana. Yani kama enzi za Moi vile, ukikutatana na Rais unapiga picha unaibandika sebuleni kwako. 🤣 🤣 🤣
 
Yani kifkra tuna tofauti kubwa sana. Wakati Wakenya wanaghadhabishwa na huu ujinga wa Rais wetu kuitwa China na Rais wa China, Bongolala zinasherehekea eti Rais wao kapiga picha na Rais wa China. Akili zenu za kitoto sana. Yani kama enzi za Moi vile, ukikutatana na Rais unapiga picha unaibandika sebuleni kwako. 🤣 🤣 🤣
Sasa unataka tughadhabike kwa kipi? 🤣 🤣 🤣 🤣 Sisi tunafanya strategic moves nyie mnaenda ili mpate Temporary happiness.

Tanzania is guided by Foreign Policy in all International Matters
 
Yani kifkra tuna tofauti kubwa sana. Wakati Wakenya wanaghadhabishwa na huu ujinga wa Rais wetu kuitwa China na Rais wa China, Bongolala zinasherehekea eti Rais wao kapiga picha na Rais wa China. Ukienda kwa comments, Wakenya wanauliza maswali, bongolala zinasherehekea. Akili zenu za kitoto sana. Yani kama enzi za Moi vile, ukikutatana na Rais unapiga picha unaibandika sebuleni kwako. 🤣 🤣 🤣
Tanzania is playing Chess Game but Kundustan is playing pool table game
 
Haya ndiyo Virtual Life ya Kundudwellers 🤣 🤣 🤣 🤣 Wanatamani kitu kama hiki kishuke kutoka mbinguni leo hii. Wanamwambia mchina atoe pesa kujenga kitu kama hiki. What is the Economical benefit?

View attachment 3086489
Hiyo pumba iliibukia hapa baada ya kupiga story na huyu Rais wa Brazzaville, nafikiri hata yeye hakuchukulia kama Ruto atatake it that serious 😅😅😅


View: https://x.com/WilliamsRuto/status/1830912245536092578?t=USGcfhKY0JX87-PD-afwxw&s=19
 
Hizo strategic moves za kazi Gani wakati mmebakia LDC tangu Uhuru.🤣
Hilo neno LDC limebaki kwenye kichwa chako tu. Dunia yote inajua Tanzania haipo kwenye kundi hilo.

For your information Strategic move tunayoongelea hapa ni TAZARA (Tanzania - Zambia) Railway
Which will connect Tanzania to Southern Congo - Zimbabwe and Angola.

Put in your Mind this will be Electric SGR
 
Yani kifkra tuna tofauti kubwa sana. Wakati Wakenya wanaghadhabishwa na huu ujinga wa Rais wetu kuitwa China na Rais wa China, Bongolala zinasherehekea eti Rais wao kapiga picha na Rais wa China. Ukienda kwa comments, Wakenya wanauliza maswali, bongolala zinasherehekea. Akili zenu za kitoto sana. Yani kama enzi za Moi vile, ukikutatana na Rais unapiga picha unaibandika sebuleni kwako. 🤣 🤣 🤣
Wewe acha kutukazia mishipa, leo mchina ndio Kawa mbaya huku kila siku mnapost sgr, expressway, thika highway, Talanta stadium, GTC na zote hizo ni mali za mchina, kikubwa hapa ni kwamba Tanzania inazidi kuaminika na kuingia multi-billion dollars deals huku ninyi mkiambulia huruma ya debt payments extension, nioneshe mradi wa maana mliosign kama ninyi kweli ni infrastructural powerhouse hii region! We huogopi tuna miradi chungu mzima ya bei mbaya na bado tunaaminika tunapata mingine mipya ya bei mbaya 😂😂😂 ninyi kimtambo cha gongo km 400 miaka 10 sasa mnapumulia mirija 😂😂
 
Ruto anatakiwa afukuze watu wote hapo kwenye ikulu yake atafute watu wenye professions wanaojua media and International protocols. They are creating bad image. Labda ni yeye anafanya hivyo.
Mkenya yeyote ni mshamba by birth hata, wao Rais wao kupeana mkono na mtu yeyote mweupe ni achievement kitaifa regardless nini wanaongea
 
Wewe acha kutukazia mishipa, leo mchina ndio Kawa mbaya huku kila siku mnapost sgr, expressway, thika highway, Talanta stadium, GTC na zote hizo ni mali za mchina, kikubwa hapa ni kwamba Tanzania inazidi kuaminika na kuingia multi-billion dollars deals huku ninyi mkiambulia huruma ya debt payments extension, nioneshe mradi wa maana mliosign kama ninyi kweli ni infrastructural powerhouse hii region! We huogopi tuna miradi chungu mzima ya bei mbaya na bado tunaaminika tunapata mingine mipya ya bei mbaya 😂😂😂 ninyi kimtambo cha gongo km 400 miaka 10 sasa mnapumulia mirija 😂😂
Ndio maana nimesema akili zenu baado. Sijasema Mchina ni mbaya, nimesema viongozi wetu (Africa) ndio wabaya.
Miradi ipi wakati mpo LDC? Kenyatta alisema ukweli aliposema nyinyi ni maiti, hata mpigwe viboko hamuwezi amka mkapigania rights zenu. Kila siku mnaimbia siisiiemu nyimbo za sifa.😂😂
 
Mkenya yeyote ni mshamba by birth hata, wao Rais wao kupeana mkono na mtu yeyote mweupe ni achievement kitaifa regardless nini wanaongea
Bro, unajiongelea ama unatuongelea? Hivi ni nani anayejisifia kwa Rais wao kupeana mkono kwa mtu mweupe? Huoni Wakenya tunamkashifu Ruto wakati mnamsifia Samia? Unakua mjinga hadi ukionyeshwa maji unasema ni moto. 🤣 🤣 🤣
 
Ndio maana nimesema akili zenu baado. Sijasema Mchina ni mbaya, nimesema viongozi wetu (Africa) ndio wabaya.
Miradi ipi wakati mpo LDC? Kenyatta alisema ukweli aliposema nyinyi ni maiti, hata mpigwe viboko hamuwezi amka mkapigania rights zenu. Kila siku mnaimbia siisiiemu nyimbo za sifa.😂😂
Kijana hebu acha ujinga wa kikenya hapa. FOCAC ilianzishwa mwaka 2000 haina uhusiano wowote na Ruto wala kiongozi yeyote mpya wa Africa.

Hii inaitwa Multilateral Relationship. Mwaka 2021 ilifanyika Dakar, Senegal mbona hukupiga kelele.

You lack knowledge of international issues
 
Bro, unajiongelea ama unatuongelea? Hivi ni nani anayejisifia kwa Rais wao kupeana mkono kwa mtu mweupe? Huoni Wakenya tunamkashifu Ruto wakati mnamsifia Samia? Unakua mjinga hadi ukionyeshwa maji unasema ni moto. 🤣 🤣 🤣
Baada ya kumashifu what next 🤣 🤣 🤣 🤣 Ruto is the image of all Kenyans
 
Bro, unajiongelea ama unatuongelea? Hivi ni nani anayejisifia kwa Rais wao kupeana mkono kwa mtu mweupe? Huoni Wakenya tunamkashifu Ruto wakati mnamsifia Samia? Unakua mjinga hadi ukionyeshwa maji unasema ni moto. 🤣 🤣 🤣
FOCAC Summits

2000, Beijing, China
2003, Addis Ababa, Ethiopia
2006, Beijing, China
2009, Sharm el-Sheikh, Egypt
2012, Beijing, China
2015, Johannesburg, South Africa
2018, Beijing, China
2021, Dakar, Senegal
 
FOCAC Summits

2000, Beijing, China
2003, Addis Ababa, Ethiopia
2006, Beijing, China
2009, Sharm el-Sheikh, Egypt
2012, Beijing, China
2015, Johannesburg, South Africa
2018, Beijing, China
2021, Dakar, Senegal
Sasa wewe ni nini unaongeanga? You should be crowned King of being off topic. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Ndio maana nimesema akili zenu baado. Sijasema Mchina ni mbaya, nimesema viongozi wetu (Africa) ndio wabaya.
Miradi ipi wakati mpo LDC? Kenyatta alisema ukweli aliposema nyinyi ni maiti, hata mpigwe viboko hamuwezi amka mkapigania rights zenu. Kila siku mnaimbia siisiiemu nyimbo za sifa.😂😂
Utasema yote, ila najua hii imekuuma mno the fact miradi yetu ni more viable and commercially realistic than yours, yaani end to end projects, Tanzania hii hapa, Zambia hii hapa huwezi ona project kama hii inatokomea machakani kama yenu 😂😂😂
20240904_091156.jpg
 
Aliitwa legend? Kama aliitwa post hapa nihame huu uzi. Wa kwenu wanakimbia kupiga picha na mastaa, wa kwetu ndio staa, wanakimbia kupiga picha naye alafu wanampost kwa page yao kama legend. Kuna tofauti kubwa sana hapo.🤣 🤣
Utofauti mmoja tu.
Yule mwanariadha huyu mtu wa mpira.
Atleast Hersi Said ameleta kitu ambacho kina massive impact kwa Tanzanian football.
Kipchoge kaleta kitu gani chenye massive impact kwa Kenya!??
 
Back
Top Bottom