Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mataifa mengi ya kiafrica linapokuja suala la lugha bado wanasujudu lugha ya mkoloni. Tanzania tuliliona na kutatua hili tatizo mapema mara baada ya uhuru.
Wengi wametuelewa na sasa unaona namna Kiswahili kinakua kwa kasi, kila mtu anakitaka, alafu zinakuja hizi nyang’au na minyororo yao ya kitumwa, English haijui, Kiswahili haijui…..ipo tu katikati kama sehemu za siri, ndio maana bado yanapigana tribal wars, shame kabisa!!
 

View: https://twitter.com/kibiki001/status/1826879491425124753?t=gxtQ-NL1a0jBP62ofOzYvQ&s=19
20240823_103354.jpg
 
Mataifa mengi ya kiafrica linapokuja suala la lugha bado wanasujudu lugha ya mkoloni. Tanzania tuliliona na kutatua hili tatizo mapema mara baada ya uhuru.
Malawi wanazungumza kingereza kizuri lakini wasichana wao wengi wanafanya kazi za ndani hapa bongo "house geli".
Unakutana na "house geli" anabonga kingereza kimenyooka. 😂😂😂
 
KFC understood the assignment, 100% locally sourced potatoes, made in kenyaView attachment 3077153
Mnadanganywa kama kawaida, kama mlivyodanganywa na BasiGo. Your potato prices are just not competitive....

Sema kwa sababu Kenya ni nchi rahisi kulisha watu matango pori ndo maana mnawekewa mabango kama hayo.
 
Back
Top Bottom