Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
😀😀wa-cross border tuone!
😀😀wa-cross border tuone!
Kawaida watu wenye lugha yao hawawezi kumbeza mtu asiyejua kuzungumza lugha yao vizuri, tena ufurahi wakimuona anajaribu na huwa tayari kumfundisha kwa upendo, kubeza mtu asiyejua lugha fulani ambayo yeye anaiona superior kuliko nyingine na ofcoz huwa sio yake hutokea kwa washamba na malimbukeni ambao hawana lugha yao rasmi ya kuwasiliana (lingua franca) kama Wakenya na Kiingereza au West Afrikans na Kifaransa.Sijawahi kuona mzungu (A native english speaker) akimbeza mtu asiyejua kingereza.
Hii inatokea tu kwa washamba, waliosoma kwa shida tena wakitokea slum ambao hata hicho kingereza chenyewe hawakijui vizuri😂😂
ila lile ghorofa kulia mbona kama jengo la Pipeline pale Nairobi? Vidirisha vinatia kinyaa!View attachment 3076197Nyumba za NHC zote zinakula nyundo in kariakoo.. hii picha nilipiga juzi.
Kileleshwa old money in action.
View: https://www.instagram.com/reel/C-8LpOstsez/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Miradi mizuri sana hii,
View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1826561284675940747?t=IIjmAMQqVTyWdE98HPYweQ&s=19
Lkn kwann hakuna jengo/chapel ya kanisa?
View attachment 3076288
yani haya machungu yote sababu kenya imejenga elevated expressway ya 27km?Ukiangalia picha kwa kutumia akili. Unaona tatizo.
Sasa barabara zote za nini kama bado kuna foleni hapo chini?...
Mnafanya miradi ambayo haiwanufaishi wananchi wote... hao wachina waliowajengea expressway wangewajengea subways, City Railway, trams au BRT ningewaona wa maana..
Naona GTC ya Mchina inaonekana.