Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Hili Mabati factory kuna siku limejaa kweli ?? Support jibu lako na evidence 😎
View: https://x.com/LinusKaikai/status/1826519710843687003?t=eltQo4STMntkDvIdz5Mzng&s=19
Tanzania hakuna roho mbaya na ubinafsi kama nyinyi.Yani hakuna hata bank moja ya bongoslum with a branch in Nairobi. 🤣 🤣 🤣
Kenya police vs Simba (harambee
Starlets)
View: https://x.com/TeyaKevin/status/1826606660074250605?t=oHn6uz_smR1spo6hrUmtqA&s=19
So tunaweza sema ni white elephant,😉Ijae aje na haijawai pitisha more than 2 million passengers. 🤣 🤣
Ndoto zao ni kujua kifaransa waende France kubeba boxes, colonialism hits them really bad.Halafu hizo nchi za franco fone ni masikini kufuru ya rahmani.
Mataifa mengi ya kiafrica linapokuja suala la lugha bado wanasujudu lugha ya mkoloni. Tanzania tuliliona na kutatua hili tatizo mapema mara baada ya uhuru.Kawaida watu wenye lugha yao hawawezi kumbeza mtu asiyejua kuzungumza lugha yao vizuri, tena ufurahi wakimuona anajaribu na huwa tayari kumfundisha kwa upendo, kubeza mtu asiyejua lugha fulani ambayo yeye anaiona superior kuliko nyingine na ofcoz huwa sio yake hutokea kwa washamba na malimbukeni ambao hawana lugha yao rasmi ya kuwasiliana (lingua franca) kama Wakenya na Kiingereza au West Afrikans na Kifaransa.
Niliwahi kuwa Kigali siku moja nikakutana na Mcameroon mmoja, eti alishangaa kwanini sijui Kifaransa (actually I just don’t know French, I hate it) nikamuuliza we unajua Kiswahili? Akacheka kwa dharau, eti Swahili? Where will Swahili takes you my friend? Nikamuuliza what will French helping me in East Afrika? Don’t you see even Rwanda is ditching it? Nikamwambia, wake up brother your in East Afrika, keep your French ego shit to yourself……….nobody gives a shit here, I would rather learn Chinese.
Hili Mabati factory kuna siku limejaa kweli ?? Support jibu lako na evidence 😎
View: https://x.com/LinusKaikai/status/1826519710843687003?t=eltQo4STMntkDvIdz5Mzng&s=19
Wewe ndio huna akili hujui nini kinaendelea kwenye mitandao ya jamii twitter kwa kwa Watanzania.So he's not an ordinary Kenyan because I don't know his education level? What's an ordinary Kenyan to you? Huna akili ndio maana una-advertise Twitter yako humu daily na bado haipati wafuasi.
Burundi pia inatajwa penye countries are being mentioned? GDP ya Burundi inafika hata $1B kweli?Tanzania hakuna roho mbaya na ubinafsi kama nyinyi.
Ukiwa na capital unawekeza.
Mbona Bank za Tanzania zipo Burundi, Congo, Nk
Kwanza hakuna hela huko.
Benk zinawekwa sehemu zenye hela
Remember JKIA handles double the passengers all Tanzanian airports does in a year.Ijae kwani chupa hiyo? Mmezoea kubanana hapo JKIA ili muibiane? We got options in here my friend, you have 3 busy international airports to enter and exit, and we are working on other two. Our infrastructure development strategy is futuristic, mambo ya kubanana kwenye ka-Airport kamoja tumewaachia nyie.
Na ndio nchi ziongozao kwa ufisadi na wakimbizi wengi wa kiuchumi kwenda Ulaya.Ndoto zao ni kujua kifaransa waende France kubeba boxes, colonialism hits them really bad.
Asante kwa Ku describe white elephant vizuri. Hiyo space na pesa mngeweka hata kiwanda cha garments kuliko kuwa idle mwaka mzima.Ijae kwani chupa hiyo? Mmezoea kubanana hapo JKIA ili muibiane? We got options in here my friend, you have 3 busy international airports to enter and exit, and we are working on other two. Our infrastructure development strategy is futuristic, mambo ya kubanana kwenye ka-Airport kamoja tumewaachia nyie.
Hili Mabati factory kuna siku limejaa kweli ?? Support jibu lako na evidence 😎
View: https://x.com/LinusKaikai/status/1826519710843687003?t=eltQo4STMntkDvIdz5Mzng&s=19
Umejuaje zinaenda TZ?Another three marcopolo buses on ferry going to Tanzania.
View attachment 3076656
View attachment 3076658
Hili Mabati factory kuna siku limejaa kweli ?? Support jibu lako na evidence 😎
View: https://x.com/LinusKaikai/status/1826519710843687003?t=eltQo4STMntkDvIdz5Mzng&s=19