Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Halafu hawajui likina swali la mansions za kumilikiwa pia zipo nyingi ndani na nje ya Nairobi. Ndani ya Nairobi maeneo kama Karen, Runda, Muthaiga, Utawala n.k ni mansions za kumilikiwa. (Ikumbukwe eneo kama Karen pekee ni kubwa kuliko mitaa yote ya Kifahari Dar combined) Alafu Kuna maeneo nje ya Nairobi kama Kahawa Sukari, Runda ya juu, Kiambu, Syokimau, Ngong, Kiserian, Kitengela, Rongai, Athi River n.k nyumba ziko kibao mansions za kumiliki.
I didn't want to engage him on matters mansions. Si unajua uwezo wao wa kuekewa ni ndogo? Nilitaka nimalizane naye on matters apartments kwanza ndio nimpeleke hayo maeneo ulyitaja nimuoneshe mansions
 
Demands mkuu, nyie kwenu kuna demands ya apartment ila sisi ni tofauti demands ipo kwa nyumba za kumiliki mwenyewe ndio maana makampuni ya Ujenzi na viwanja ni mengi sana.

Private wamehamishia nguvu huko wanakujengea nyumba kabisa unawapa kiwanja unakabidhiwa funguo tu.
Unabishana na watu ambao ardhi kwao ni shida!?
Yani mtu anafosi vile Kenya inavyojiendesha kimakazi basi na Tanzania ijiendeshe hivyo hivyo.
Usipoteze muda wako kubishana nao mkuu.
 
L

Camera zote za nini Buddah!?
Umekua photographer au muandaaji filamu!?
Kila camera ina kazi yake. Hiyo Sony ni nzuri kuzoom nikitaka kupiga kitu Cha mbali picha na pia huwa nahire kwa watu wakifanya video za harusi. DJI ni nzuri nikirecord conversation (maanake ina feature ya kufuata uso wa mtu akisonga na mic yake wireless Iko poa) ama niweke kwa kioo Cha gari nirecord safari na pia huwa nahire watu wafanyie vlogging. Ya simu nayo it's the portable one. Hiyo natumia kama Sina hizo zengine.
 
Kila camera ina kazi yake. Hiyo Sony ni nzuri kuzoom nikitaka kupiga kitu Cha mbali picha na pia huwa nahire kwa watu wakifanya video za harusi. DJI ni nzuri nikirecord conversation (maanake ina feature ya kufuata uso wa mtu akisonga na mic yake wireless Iko poa) ama niweke kwa kioo Cha gari nirecord safari na pia huwa nahire watu wafanyie vlogging. Ya simu nayo it's the portable one. Hiyo natumia kama Sina hizo zengine.
Duh hongera bro.
 
Hapa ni Nyumbani kwako.? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ I can clearly see the back ground kupitiahiyo screen hapo.. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wewe uko na nyumba? Ama unangoja msichana wa wenyewe arudi akufungulie mlango? That girl canโ€™t even trust you with a spare key๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nimeona umelia sana nikujibu. Uzuri wangu mimi hujibu mambo kwa facts. Eneo unaloongelea hili hapa. Area = 38 sq. km
View attachment 3063504


Karen hii hapa, Area 64 sq. km.
View attachment 3063505
Hivi 64 sq.km na 38 sq. km gani kubwa? Na usikwepekwepe kama ilivyo kawaida yenu maanake nimevumilia sana kujibu kima asiye na akili kama wewe. Kawaida yangu huwa sijibizani na vinyangarika ambayvo havijakanyaga nje ya nchi zao.
Hawa Huwa wanatumia a lot of emotions kwenye hoja zao. Angejua hakuna mtaa wowote huko kwao inatoshananna Karen both in aesthetics na ukubwa Wala hangefungua hiyo mdomo yake kubwa
 
Wewe Mpumbavu NairobiWalker ๐Ÿ‘‡๐Ÿพ
IMG_0645.jpeg
IMG_0647.jpeg
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hiyo 400k hata wewe hadi ufanye hile kazi yako ya public health for 3 yrs ndio mshahara wako uifikie.
Basi mimi sijagusia upande wa public health.
Nimegusia upande wa hustling in all means bro.
 
Skia halafu wewe mpumbavu naweza share these kinda pictures like every single day NairobiWalker hizo pesa mimi kwasasa mashaallah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sidhani kama utawezana sasa. Heb post kwanza unatumia simu gani we mbwa.?
 
Skia halafu wewe mpumbavu naweza share these kinda pictures like every single day NairobiWalker hizo pesa mimi kwasasa mashaallah ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Sidhani kama utawezana sasa. Heb post kwanza unatumia simu gani we mbwa.?
Picha za mwenye mbuzi unaturingia hapa? Kwanza wewe unafanana na broker wa kuuza mbuzi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom