Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Katika wapumbavu wa kikenya wewe ni namba moja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wewe unadhani ili mtu apate pesa nyingi lazima awe ameajiriwa.? Au unadhani kila mtanzania humu ndani Chanzo chake cha mapato ni ajira.? Mana naona umepost mshahara wa clinical officer kusapoti point yako kwamba ikiwa clinical officer analipwa hiv then non is paid more.πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwenye kujiajir huku let’s say, huku Ndio watanzania wengi tupo huku, na kuna pesa mingi hatari, biashara za mazao ya nafaka, matunda, Nyama ya kuku, ng’ombe, mbuzi, mayai . Huku Ndio kuna utajiri wa haraka balaa ukiweka pesa mingi, hiyo 8 million unataja ni pesa kidogo sana ambapo ukijitega vizuri unaipata hii like every week or even everyday
Elimu ya Kenya huwaaandaa Wakenya kuwa Watumwa wa makampuni ya Wazungu na si vinginevyo. Hawana baraka ya kuandaliwa kifikra za kujitegemea tangu wadogo kwakua kujitegemea kunaitaji resources ambazo haziko hata mikononi mwa serikali yao.

Ajira ndio kitu pekee cha kuwawezesha kula na kuvaa.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nanunua ngapi hapo hivi vidubwana.? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸΎView attachment 3064092
Umekimbia kuwithdraw pesa za demu wako upige picha kisa umeoneshwa Camera za bei. Alafu pesa zenyewe madafu. Hiyo noti ya 10k hapa kenya ni 500. Hizo pesa zote hazifiki 50k za Kenya alafu unalinganisha na bei ya DJI OSMO Pocket 3. Hivi unajua bei ya hiyo Camera. Alafu hizo ni savings zako zote, camera yake ni kitu cha leisure tuu, yani kile kitu ananunua tu kujifurahisha. Leo umesumbuliwa sana, sidhani utalala vizuri leo. 🀣 🀣 🀣
 
Umekimbia kuwithdraw pesa za demu wako upige picha kisa umeoneshwa Camera za bei. Alafu pesa zenyewe madafu. Hiyo noti ya 10k hapa kenya ni 500. Hizo pesa zote hazifiki 50k za Kenya alafu unalinganisha na bei ya DJI OSMO Pocket 3. Hivi unajua bei ya hiyo Camera. Alafu hizo ni savings zako zote, camera yake ni kitu cha leisure tuu, yani kile kitu ananunua tu kujifurahisha. Leo umesumbuliwa sana, sidhani utalala vizuri leo. 🀣 🀣 🀣
Mtafanya huyu jamaa hata aombe watu pesaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Umekimbia kuwithdraw pesa za demu wako upige picha kisa umeoneshwa Camera za bei. Alafu pesa zenyewe madafu. Hiyo noti ya 10k hapa kenya ni 500. Hizo pesa zote hazifiki 50k za Kenya alafu unalinganisha na bei ya DJI OSMO Pocket 3. Hivi unajua bei ya hiyo Camera. Alafu hizo ni savings zako zote, camera yake ni kitu cha leisure tuu, yani kile kitu ananunua tu kujifurahisha. Leo umesumbuliwa sana, sidhani utalala vizuri leo. 🀣 🀣 🀣
Mtafanya huyu jamaa hata aombe watu pesaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Elimu ya Kenya huwaaandaa Wakenya kuwa Watumwa wa makampuni ya Wazungu na si vinginevyo. Hawana baraka ya kuandaliwa kifikra za kujitegemea tangu wadogo kwakua kujitegemea kunaitaji resources ambazo haziko hata mikononi mwa serikali yao.

Ajira ndio kitu pekee cha kuwawezesha kula na kuvaa.
Si huwa mnasema Kenyans in JF are jobless? Tena tukianza kuongelea mambo ya mishahara mnakasirika. Kwani mnataka nini?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Skia halafu wewe mpumbavu naweza share these kinda pictures like every single day NairobiWalker hizo pesa mimi kwasasa mashaallah πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Sidhani kama utawezana sasa. Heb post kwanza unatumia simu gani we mbwa.?
Natumia Google Pixel 7 Pro. Wewe unatumia Gani?πŸ˜‚πŸ˜‚

1000227014.png
 
Back
Top Bottom