Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Hizi pesa hazifiki ksh 50,000 πππ
Hizi pesa hazifiki ksh 50,000 πππ
50k ni mingi. Hizo pesa ni 20k, and going by how old they are itβs like jamaa amekuwa akizisave since last yearππHizi pesa hazifiki ksh 50,000 πππ
Elimu ya Kenya huwaaandaa Wakenya kuwa Watumwa wa makampuni ya Wazungu na si vinginevyo. Hawana baraka ya kuandaliwa kifikra za kujitegemea tangu wadogo kwakua kujitegemea kunaitaji resources ambazo haziko hata mikononi mwa serikali yao.Katika wapumbavu wa kikenya wewe ni namba moja πππ
Wewe unadhani ili mtu apate pesa nyingi lazima awe ameajiriwa.? Au unadhani kila mtanzania humu ndani Chanzo chake cha mapato ni ajira.? Mana naona umepost mshahara wa clinical officer kusapoti point yako kwamba ikiwa clinical officer analipwa hiv then non is paid more.ππ
Kwenye kujiajir huku letβs say, huku Ndio watanzania wengi tupo huku, na kuna pesa mingi hatari, biashara za mazao ya nafaka, matunda, Nyama ya kuku, ngβombe, mbuzi, mayai . Huku Ndio kuna utajiri wa haraka balaa ukiweka pesa mingi, hiyo 8 million unataja ni pesa kidogo sana ambapo ukijitega vizuri unaipata hii like every week or even everyday
Umekimbia kuwithdraw pesa za demu wako upige picha kisa umeoneshwa Camera za bei. Alafu pesa zenyewe madafu. Hiyo noti ya 10k hapa kenya ni 500. Hizo pesa zote hazifiki 50k za Kenya alafu unalinganisha na bei ya DJI OSMO Pocket 3. Hivi unajua bei ya hiyo Camera. Alafu hizo ni savings zako zote, camera yake ni kitu cha leisure tuu, yani kile kitu ananunua tu kujifurahisha. Leo umesumbuliwa sana, sidhani utalala vizuri leo. π€£ π€£ π€£ππππ nanunua ngapi hapo hivi vidubwana.? ππππΎView attachment 3064092
Mtafanya huyu jamaa hata aombe watu pesaπππ€£Umekimbia kuwithdraw pesa za demu wako upige picha kisa umeoneshwa Camera za bei. Alafu pesa zenyewe madafu. Hiyo noti ya 10k hapa kenya ni 500. Hizo pesa zote hazifiki 50k za Kenya alafu unalinganisha na bei ya DJI OSMO Pocket 3. Hivi unajua bei ya hiyo Camera. Alafu hizo ni savings zako zote, camera yake ni kitu cha leisure tuu, yani kile kitu ananunua tu kujifurahisha. Leo umesumbuliwa sana, sidhani utalala vizuri leo. π€£ π€£ π€£
Mtafanya huyu jamaa hata aombe watu pesaπππ€£Umekimbia kuwithdraw pesa za demu wako upige picha kisa umeoneshwa Camera za bei. Alafu pesa zenyewe madafu. Hiyo noti ya 10k hapa kenya ni 500. Hizo pesa zote hazifiki 50k za Kenya alafu unalinganisha na bei ya DJI OSMO Pocket 3. Hivi unajua bei ya hiyo Camera. Alafu hizo ni savings zako zote, camera yake ni kitu cha leisure tuu, yani kile kitu ananunua tu kujifurahisha. Leo umesumbuliwa sana, sidhani utalala vizuri leo. π€£ π€£ π€£
Si huwa mnasema Kenyans in JF are jobless? Tena tukianza kuongelea mambo ya mishahara mnakasirika. Kwani mnataka nini?πππ€£Elimu ya Kenya huwaaandaa Wakenya kuwa Watumwa wa makampuni ya Wazungu na si vinginevyo. Hawana baraka ya kuandaliwa kifikra za kujitegemea tangu wadogo kwakua kujitegemea kunaitaji resources ambazo haziko hata mikononi mwa serikali yao.
Ajira ndio kitu pekee cha kuwawezesha kula na kuvaa.
πππππ
View: https://twitter.com/Kherikombe/status/1821113702294126682?s=19
View: https://twitter.com/MrKifaki/status/1821114837415424065?s=19
View: https://twitter.com/miss_maino/status/1821136925765316662?s=19
View: https://twitter.com/Its_VickP/status/1821116488599925198?s=19
View: https://twitter.com/critic_smart/status/1821116677053988990?s=19
View: https://twitter.com/PROFARMS/status/1821131438315504098?s=19
Do you even have a media house in Tanzania?Time for Tanzanian media houses to acquire media houses in Ukunyani!
Natumia Google Pixel 7 Pro. Wewe unatumia Gani?ππSkia halafu wewe mpumbavu naweza share these kinda pictures like every single day NairobiWalker hizo pesa mimi kwasasa mashaallah ππππ. Sidhani kama utawezana sasa. Heb post kwanza unatumia simu gani we mbwa.?
Wew ni vlogger?Ndio hii bro camera yenyewe nikiwa nayo kwangu. Una swali lingine? Usikuwe maskini udhani Kila mtu ni maskiniππ
View attachment 3064043
Akijibu na simu more than 15k unitagππ
πππAkijibu na simu more than 15k unitagππ