Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

If you consume less, it only means you have a weak middle class. Pole sana kama hukujua. 😂 😂 😂
chrome_screenshot_Apr 11, 2026 9_55_31 PM GMT+03_00.png

Haya tuambieni exports zenu
 
Sti
Wacha kujiabisha oyaaaa. I quoted an estimate of 16.5 Billion highest figure for Goods and services, wewe umekuja na 16.6 B So data zangu zinanidanganya aje yet they read the same thing?
Still yet uko bado uko wrong
 

Attachments

  • chrome_screenshot_Apr 11, 2026 9_55_31 PM GMT+03_00.png
    chrome_screenshot_Apr 11, 2026 9_55_31 PM GMT+03_00.png
    244.3 KB · Views: 0
Pole sana huwez kuwa na reccurent expenditure above 70 % halafu ukajisifia eti uko na middle income .
Na hapa unatakiwa uelewe unatakiwa uwe na production kubwa ili iendane na hiyo middle income uliyonayo. Na kama una middle income kubwa it means itaongeza importation of luxury goods, lakini kwa Kenya haiko hivyo mnaimport consumable goods kama vyakula .
Bahat mbaya tunawaelimisha wapumbavu kama nyinyi ambao hamuelewi .

Ukitumia remittance nyumbani inatumika kuwalisha na kununulia chakula na mavazi sio kwenye production , ndo maana government yenu inatumia pesa kustabilize ksh sababu exports haziwezi cover imports forex hasa pale kikiwa na free fall of ksh
You are just throwing in words hata huelewi, tunaongelea consumer spending wewe unakuja na recurrent expenditure. Unajielewa kweli? So you think a stronger middle class means importing more luxury goods and not consumable goods. Bana wewe ni mjinga wa hali ya juu. 😂 😂
 
Wacha kujiabisha oyaaaa. I quoted an estimate of 16.5 Billion highest figure for Goods and services, wewe umekuja na 16.6 B So data zangu zinanidanganya aje yet they read the same thing?
Still yet commodity export is above 10bil with 16.5 wakati wewe tumeweka commodity export at 7.3 bil usd
You are just throwing in words hata huelewi, tunaongelea consumer spending wewe unakuja na recurrent expenditure. Unajielewa kweli? So you think a stronger middle class means importing more luxury goods and not consumable goods. Bana wewe ni mjinga wa hali ya juu. 😂 😂

Ukiwa una calculate gdp consumer expenditure lazima itahusika sababu salaries zinalipwa kwa kutumia recurrent expenditure .
Mtu anayepata salary bado ataitumia kwenda kununua consumable goods .
You nothing about economics Buda wewe tulia tu.
 
And that's only a difference of 0.5 for the year ending in October. So tofauti na 16.5B estimates I stated earlier ni ipi?
Actual service industry ilikuwa 6.9bil wewe umeoverstateme , Mimi nataka ustate total value of commodities exported compared to kenya, halafu huwez compare amount ambayo haijakamilika kwa Tanzania versus a whole year Kenyan data .
As for the record for year 2025 Tanzania commodity export was above 10bil usd as compared to kenya with 7.8 bil usd .
So the information you brought can't be reliable since it's compares incomplete data for data tanzania
 
Still yet commodity export is above 10bil with 16.5 wakati wewe tumeweka commodity export at 7.3 bil usd

Ukiwa una calculate gdp consumer expenditure lazima itahusika sababu salaries zinalipwa kwa kutumia recurrent expenditure .
Mtu anayepata salary bado ataitumia kwenda kununua consumable goods .
You nothing about economics Buda wewe tulia tu.
Your figure is a rolling 12 based on estimates till Year ending October. While my figures is full year 2025 provisional data.
 
Actual service industry ilikuwa 6.9bil wewe umeoverstateme , Mimi nataka ustate total value of commodities exported compared to kenya, halafu huwez compare amount ambayo haijakamilika kwa Tanzania versus a whole year Kenyan data .
As for the record for year 2025 Tanzania commodity export was above 10bil usd as compared to kenya with 7.8 bil usd .
So the information you brought can't be reliable since it's compares incomplete data for data tanzania
You figures are for the year ending October. Ama hujui meaning ya Year ending or rolling 12?
 
Still yet commodity export is above 10bil with 16.5 wakati wewe tumeweka commodity export at 7.3 bil usd

Ukiwa una calculate gdp consumer expenditure lazima itahusika sababu salaries zinalipwa kwa kutumia recurrent expenditure .
Mtu anayepata salary bado ataitumia kwenda kununua consumable goods .
You nothing about economics Buda wewe tulia tu.
So you are assuming everyone is employed by the government and they depend on the government for salaries? 😂 😂 😂 Relax, you are reasoning like a fool.
 
First you should understand what components are included when calculating gdp . Serikali Inaweza kopa kulipa mishahara ambayo inakuja kutumika kwenye kufanya consumption.
Soma formula kwanza niliyokupa hapo uelewe .
Kwa hivyo kila mkenya analipwa na serikali ndio tufanye consumption. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom