Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo ni maskini wa kutupa kaka, unadhani utaskia nini kutoka kawkę.? 😂😂😂
Tena mtu anadiriki kusema ni mshahara wa mwaka mzima wa Mtanzania AISEE😂😂😂😂😂😂.
Hizo 8 millions nikienda kuvuna Cocoa kilo 200 si nazipata mara moja na nusu yake AISEE kwa mpigo mmoja??
😂😂😂😂😂
 
Kwahivyo wewe ulikua unafikiria unatoka Kenya moja kwa moja 😂😂
Unavyosema mnatulisha it means ni sawa useme kitu chatoka KE directly.
Ilhali kipo tofauti.
Pia hiyo ni biashara hamkulazimishwa ama kuombwa kuja kuwekeza.
Pia msidhani mikate yenu ndio inalika sana.
Mikate ya Azam Bakhressa ndio inaliwa sana hapa Tanzania.
 
Tena mtu anadiriki kusema ni mshahara wa mwaka mzima wa Mtanzania AISEE😂😂😂😂😂😂.
Hizo 8 millions nikienda kuvuna Cocoa kilo 200 si nazipata mara moja na nusu yake AISEE kwa mpigo mmoja??
😂😂😂😂😂
Kwanza the camera is worth 600k not 400k. 400k ni bila lens. 600k kwa pesa ya madafu ni Tshs. 12.5M.
Pili, hiyo cocoa umevuna mara Moja imechukua muda Gani ndio ikakua? Utahesabu aje kitu kilichochukua mwaka mmoja kukua kama pato LA siku moja kisa umekivuna kwa siku moja? Alafu ukipata hiyo 8 million umetoa pesa za wafanyakazi? Mbolea umetoa? Kulima? Transport? Hivi huoni ukipata hiyo 8 million faida yake ni chini ya 2 million tena kwa mwaka? Wangapi wenu humu wanaweza toa Tsh. 12.5 million wakanunua camera kwa mpigo? Usifikirie kama sufuria. Kuna wakati ulisema humu wewe ni clinical officer. Nikiangalia mtandaoni mshahara wa clinical officer hapo bongo average ni 6.5M kwa mwaka, camera nimenunua na 12.5M. Sasa nikisema imeshinda mshahara wako wa mwaka mbona uone nadanganya na ni ukweli? Halafu wewe una nafuu kisa una kazi yet hiyo camera imeshinda mshahara wako mara mbili, yule niliyekuwa naongelea hata kazi Hana. Mwenyewe kakiri humu analishwa na demu yake, Sasa bado unaniona mjinga kwa kusema pato lake LA mwaka haliwezi nunua hiyo camera wakati hata pato lake LA miaka tatu halitoinunua?

1000226277.png
 
Kwanza the camera is worth 600k not 400k. 400k ni bila lens. 600k kwa pesa ya madafu ni Tshs. 12.5M.
Pili, hiyo cocoa umevuna mara Moja imechukua muda Gani ndio ikakua? Utahesabu aje kitu kilichochukua mwaka mmoja kukua kama pato LA siku moja kisa umekivuna kwa siku moja? Alafu ukipata hiyo 8 million umetoa pesa za wafanyakazi? Mbolea umetoa? Kulima? Transport? Hivi huoni ukipata hiyo 8 million faida yake ni chini ya 2 million tena kwa mwaka? Wangapi wenu humu wanaweza toa Tsh. 12.5 million wakanunua camera kwa mpigo? Usifikirie kama sufuria. Kuna wakati ulisema humu wewe ni clinical officer. Nikiangalia mtandaoni mshahara wa clinical officer hapo bongo average ni 6.5M kwa mwaka, camera nimenunua na 12.5M. Sasa nikisema imeshinda mshahara wako wa mwaka mbona uone nadanganya na ni ukweli? Halafu wewe una nafuu kisa una kazi yet hiyo camera imeshinda mshahara wako mara mbili, yule niliyekuwa naongelea hata kazi Hana. Mwenyewe kakiri humu analishwa na demu yake, Sasa bado unaniona mjinga kwa kusema pato lake LA mwaka haiwezi nunua hiyo camera wakati hata pato lake LA miaka tatu halitoinunua?

View attachment 3063820
Nikisema wewe ni mwehu utakataa!?
Kwa hiyo kila Clinical officer ameajiriwa na anakufa akiwa ameajiriwa!??
Kichaa wewe watu tulishaacha ajira sasa hivi tumejiajiri hasa katika kilimo na ufugaji.
Pia usidhani kila anayevuna basi anavuna alichopanda,kuna wengine huwenda kununua zao kwa mkulima likiwa tayari limeshavunwa na kupakiwa katika Kiroba ama gunia ama debe.
Pia biashara zingine huwa zinamalizika kwa muhusika kugharamia usafiri kazi yako wewe ni kugharamia ushuru tu.
Msimu wa Cocoa ni kuanzia mwezi wa 8 mwishoni hadi wa tatu mwakani.
Sisi kazi yetu ni kununua ikiwa full packed boss wa kiwandani anagharamia usafiri ananipa changu basi.
Hata kama ungesema nigharamie usafiri gari ya mizigo kutoka naponunulia kwa wakulima hadi kwa tajiri ni shilingi 50 thousands za Kitanzania.
Hivyo mimi sina gharama ya mfanyakazi bali gharama za ushuru na ya usafiri kama ikilazimika kuilipia kama nitamkosa boss wa usafiri wake mwenyewe.

Nina ng'ombe makambaku mzee kila mwisho wa wiki napeleka sita mpaka saba machinjioni ya Madizini na Pugu kila mmoja anazidi kilo 180 hivyo sio chini ya laki 9 za kitanzania.
Halafu ukae unitishie mimi kamera ya 12 milion kiazi wewe!?

Kama ukidhani watu tulisoma tukaishia kwenye kuajiriwa peke yake basi pole saaanaaaa.
Mwisho kila mtu ana kipaumbele chake,Mie siwezi kuwa mtu wa hanasa kiasi eti nunue Camera nooop.
 
Nikisema wewe ni mwehu utakataa!?
Kwa hiyo kila Clinical officer ameajiriwa na anakufa akiwa ameajiriwa!??
Kichaa wewe watu tulishaacha ajira sasa hivi tumejiajiri hasa katika kilimo na ufugaji.
Pia usidhani kila anayevuna basi anavuna alichopanda,kuna wengine huwenda kununua zao kwa mkulima likiwa tayari limeshavunwa na kupakiwa katika Kiroba ama gunia ama debe.
Pia biashara zingine huwa zinamalizika kwa muhusika kugharamia usafiri kazi yako wewe ni kugharamia ushuru tu.
Msimu wa Cocoa ni kuanzia mwezi wa 8 mwishoni hadi wa tatu mwakani.
Sisi kazi yetu ni kununua ikiwa full packed boss wa kiwandani anagharamia usafiri ananipa changu basi.
Hata kama ungesema nigharamie usafiri gari ya mizigo kutoka naponunulia kwa wakulima hadi kwa tajiri ni shilingi 50 thousands za Kitanzania.
Hivyo mimi sina gharama ya mfanyakazi bali gharama za ushuru na ya usafiri kama ikilazimika kuilipia kama nitamkosa boss wa usafiri wake mwenyewe.

Nina ng'ombe makambaku mzee kila mwisho wa wiki napeleka sita mpaka saba machinjioni ya Madizini na Pugu kila mmoja anazidi kilo 180 hivyo sio chini ya laki 9 za kitanzania.
Halafu ukae unitishie mimi kamera ya 12 milion MATAKO wewe!?

Kama ukidhani watu tulisoma tukaishia kwenye kuajiriwa peke yake basi pole saaanaaaa.
Mwisho kila mtu ana kipaumbele chake,Mie siwezi kuwa mtu wa hanasa kiasi eti nunue Camera nooop.
Umeongea kwa hasira sana. Naona niligusa penyewe. Pole kwa maumivu.
 
Jana karibu nikuwe na damu ya binadamu mkononi mwangu. The guy lying ahead just appeared out of Nowhere into the road, vile nilimiss hivi mtu wa lorry akapita na yeye. I stood there for almost 2 hrs just staring.

I'll never forget yesterday.😔😔


View attachment 3063693
Kwani hamna pedestrian crossing au foot bridge kwenye hizo barabara zenu.
Sisi sehemu hatarishi kama hizo huwa fenced watu wasivuke na hiyo ndio standard tuliyojiwekea.
 
Back
Top Bottom