"Sumbawanga Na Katavi kuna imani za kishirikina je nao ni Qur'an kaka!" Nenda kaangalie hao huko Sumbawanga ni wakina nani? Angalia mambo yote ya kiushirikina ni aina gani ya maandiko kama sio Quran. Wapi umeona mganga wa kienyeji siye wa imani hiyo?
Haya hata sio mambo ya kubishana. Uharabuni karibia kote kwenda shule ni marufuku, juzi tu hapa Taliban wamepiga marufuku. In Nigeria most states zenye sharia law hawaendi shule bali madrasa.
"Al-Jinn (Kiarabu: الجن, “Jini”) ni sura ya 72 (sūrah) ya Quran yenye aya 28 (āyāt). Jina pamoja na mada ya sura hii ni majini. Katika Quran, imeelezwa kuwa wanadamu wameumbwa kutokana na ardhi na majini kutokana na moto usio na moshi."
"Qur'an pia inaeleza kwamba majini, kama wanadamu, ni viumbe wenye uwezo na mamlaka, na wao, kama wao, wanaweza kuchagua kati ya utii na uasi, imani na ukafiri. Haya yanathibitishwa na kisa cha Shetani na tukio la majini kuthibitisha imani kama inavyopatikana katika Sura Al-Ahqaf na Al-Jinn."
"Sura Al-Jinn - 1-28, Katika Sura Al-Araf: 27 imeelezwa kwa maneno yaliyo wazi kwamba majini wanawaona wanadamu lakini wanadamu hawawaoni."
😂😂😂😂😂😂😂😂Aiseee naona unataka tujadili.
Sumbawanga kuna WAGANGA WENGI TENA WANAWAKE WAKRISTO PURE KINA JANE.
KATAVI NIMEFIKA KUNA WAKRISTO WENGI WAGANGA.
Tusiende mbali Songea kwa wangoni ni washirikina kufuru ya Mungu na idadi kubwa ya wangoni wakristo.
Utaniambia nini wewe bwana mimi nimetembea!?
Hao kina KAKOBE NA MWAMPOSA wale si washirikina wanaojificha nyuma ya BIBLIA?
Au unadhani sisi hatujui!?
KAKOBE si alikua anajifanya anaponya hadi tasa wasiozaa kumbe alikua anawapa watoto nyoka!?
-Nikisema kaka hujaelimika nitakua nimekosea!?
Sikujua kama bado una fikra dumavu hivi A'Araf verse 27 Mungu anatuambia kuwa tuwe makini na kizazi cha mashetani maana wao ndio waliomtoa baba yetu Adam na mama yetu Hawa peponi kwa kuwashawishi madhambi,hasa wao wanatuona ila sisi hatuwaoni.
Je Biblia haijamzungumzia shetani kuwa ndio chanzo cha maovu!?
Je biblia haitambui uwepo wa hao viumbe!?
-Ndio sawa Al jinni imezungumzia kuwa majini wapo waislam na wapo waovu,ila je unafahamu kama Quran hiyo hiyo imekataza sisi kushirikiana na majini?
Je unafahamu kuwa Quran hiyo hiyo imesema Mungu hamsamehi mshirikina!?
Quran kiufupi imeeleza majini ni sehemu ya viumbe vya Mungu na HATUTAKIWI TUSHIRIKIANE NAO KWASABABU SIO VIUMBE VYA KUTUMIA AKILI.Na pia Mungu kakataza ushirikina na kushirikiana na majini.
Wale wana dunia yao tuwaache katika dunia yao na sisi tuishi katika dunia yetu.
-Unasemea kuhusu Taleban.YOU ARE MISINFORMED.Taleban Afghanistan imekataza WANAWAKE KUSOMA ila wanaume wameruhusiwa kusoma.
Je nikuletee majina ya shule na vyuo vya Afghanistan!??
Halafu umeitaja Afghanistan tu mbona hujataja nchi kama QATAR,DUBAI,BAHRAIN,JORDAN,SAUDI ARABIA,MALAYSIA,INDONESIA,BRUNEI DARUSALAAM!?
Haya mataifa yana HIGHER LITERACE RATE KULIKO TAIFA LOLOTE HAPA AFRICA.
Na sana sana SAUDI ARABIA UNAJUA KUNA VYUO ambavyo ni world ranked!?
Je Tanzania mna vyuo world ranked!??
Unaonekana wewe ni mtu uliyejazwa chuki za kidini halafu point zako ni nyepesi sana hazina hata mashiko.
Tanzania kuna shule ambazo ni ISLAMIC SEMINARY zinafundisha Qur'an na masomo ya secular,hivi unajua suratul Maidah ina topic ya atom!?
-Almuntazir.
-Yemeni schools .
-Ilala Islamic
-Kirinjiko Islamic
-Chalinze Islamic.
-Almaktum colleges
-Paradigms colleges
-Muslim University of Morogoro
Hivi vyote ni vya waislam je wanafanya nini kama Quran imewakataza wasisome!?
Bro kaka badilika acha fikra za KITUMWA NA DUMAVU NA ZA CHUKI AMA UDINI,havitakupeleka popote.
Kassim Majaliwa muislam yule na madrassa kasoma.
Huijui Quran hivyo usikae na wazee wenzako mkaanza kumezeshana uongo.
Unasikitisha sana.