Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukunyani mkinionyesha Presidential coach kama hii nahama humu ndani
GT6SDs3WwAAZUxG



View: https://x.com/TimesMajira/status/1819054554853659111

VS


View: https://youtu.be/r91B0eDqCak?si=uhEjJ2Lel2DxzA1F

CC: Teargas NairobiWalker n mwathadan

Presidential Coach Makwapa😂😂👇👇🤣🤣

1722543417833.jpeg
 
Ningekuwa Mimi ningetumia Trilioni 10 kujenga km 6,000 za Lami Nchi nzima ambazo Zingechochea Uchumi na kupunguza umaskini badala ya kujenga km 722 za Sgr 🤣🤣🤣👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-IcZKYNkza/?igsh=OW84c2d1Z2F1ZzBl

My Take: Balozi nae ameniunga mkono hapa 👇👇

View: https://twitter.com/JapanAmb_TZ/status/1818883363203133893?t=ddqNcpjJ3q57Kp0sjl2JWw&s=19

Kwa sababu wewe na balozi hamna akili.
 
Waliuziwa mtumba. Chats from passengers inside stalled train🤣🤣😂😂👇👇

1722544389542.jpeg
 
Sasa kama national coverage ya stima Tanzania yoye ni 35% ya taia, unaexpect SGR itatoa stima wapi?
Wahadza msituni Danganyika hawajui ata stima ni nini wanakula na kuvaa Kima tu
Hehehe alafu walidanganywa ati hizo trains zitakuwa na battery zenye uwezo wa kutembeza trains kilomita kadhaa, kumbe ilikuwa tu battery ya kuwasha taa🤣🤣😂😂
 
Train imekwama msituni abiria wanalala sakafuni😂😂🤣🤣.

Hawa ni wenye walikuwa wanangoja train warudi nayo🤣😂😂🤣👇👇👇

1722545777229.jpeg
 
Waliuziwa refurbished trains😂😂🤣🤣🤣

1722546157182.jpeg
 
Back
Top Bottom