Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imekwama ama hazijakwama?🤣🤣😂😂
Umehamisha mada!?
Si ulisema locomotive ndio mbovu!?
Baada ya taarifa kusema cable ndio zimesumbua unahama mada!?
Aya zimekwama ila shida imeonekana ni kwenye cable sio locomotive.
 
Umehamisha mada!?
Si ulisema locomotive ndio mbovu!?
Baada ya taarifa kusema cable ndio zimesumbua unahama mada!?
Aya zimekwama ila shida imeonekana ni kwenye cable sio locomotive.
Mliuziwa mitumba and that’s why zinakwama. Zile battery zilifaa zikuje nazo ziko wapi?😂😂🤣🤣
 
Taarifa ya nani?🤣🤣😂😂
Hii alileta nani!?
Screenshot_2024-08-02-00-27-59-38_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Ni kawaida ya raia kulalamika.
Kwasababu ilipofanya kazi kwa ufanisi mwezi mmoja na nusu hawakupiga kelele na walisifia.
Hivyo ni kawaida raia kulalamika.
Yani SGR yenu hata mwezi bado lakini inabehave like a 800 years old infrastructure😂🤣🤣
 
Alafu kuna kondoo watakuambia kwamba shida sio trains😂😂🤣🤣👇👇👇

1722550183923.jpeg
 
Now I know why they using two train heads to pull the coaches. These trains hazina nguvu🤣🤣😂😂👇👇👇

Geza Ulole ulisema uonyeshwe train ya vichwa viwili ikifika Dodoma😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3059065
Tioneshe treni inatembea na vichwa viwili kama yenu. Hapa ni distance away picha imepigwa na kichwa kingine kipo umepnde mwingine wa rail track.
 
Alafu kuna kondoo watakuambia kwamba shida sio trains😂😂🤣🤣👇👇👇

View attachment 3059061
Hizi ni hujuma na huyu ni mwandishi wa habari na yupo kwenye hii kampeni ya hujuma ndio maana yupo ndani kutoa hizi news kwa wale jamaa na watu flani mitandaoni. Sio coincidence uwepo wake.
 
Back
Top Bottom