Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Possibility bado ipo! Mimi sioni uwezekano wa Kenya kujenga kipande cha Naivasha Malaba bila ya msaada wa Mchina na kama Uganda wameamua kujenga na Yepi Merkezi, China haita-finance Kenya’s Naivasha-Malaba SGR
Baadala mshugulike na kupata suluhisho ya kutatua shida ya train zenu kukwama porini kila mara wewe huko hapa kuongelea SGR ya Kenya yenye haitumii trains za kukwamakwama🤣🤣😂😂
 
Kaka hio ni ndoto ya alinacha hakuna mpango wowote so far, kipindi wanajenga kwenda naivasha walikua na mpango huo 5 yrs 7yrs ago na hakuna walichofanikiwa mchina kashaona kua hakuna biashara ya kurudisha pesa yake hata kwa miaka 50 ijayo ikiwa mpaka Leo hii hawajapata faida hata thumni 🤣🤣🤣🤣🤣
Bwana unapiga kelele hapa na trains za Tz zinalala msituni?😂😂🤣🤣🤣
 
Sama boy 255 acha kumpa airtime kichaa Teargas kwenye SGR like seriously Tren yetu ya kulinganisha na Fossil.

Kama si kukosea heshima ni nini?
Mm huwa nashangaa sn, naomba kuanzia leo huu mjadala uishe, tulishamaliza kitambo ubishani wa SGR tatizo watanzania bado wanampa air time huyo kichaa ambaye hakubaligi kushindwa kwa chochote, just imagine anakuambia treni ya Kenya inakimbia kuliko ya umeme, na bado kuna watu wanabishana naye, ifike kipindi sisi tuendelee kuwapelekea moto kwa kupost treni zetu huyo kichaa akikosoa wala msimjibu. Kwenye mambo mengine tubishane ila sio SGR, BRT, hydro power plants, airports, marine vessels, wala bus terminals.
 
Airport anapewa Muhindi SASA Kenya itabaki na Nani jamani 😅😅😅😅😅😅😅 na anapewa kwa zaidi ya 30yrs yote ni kwasababu hawana pesa yakujenga hata jengo la Choo hapo JKIA

moi plz fufuka uje uone ili nchi uliongoza kwa miaka 24😅😅😅😅😅😅
Tena wahindi ni watu wa hovyo sana watuulize sisi tulipowapa reli ya kati
 
Always nyie Wafuasi wa Magufuli ni brainless ndio maana mnatumia Trilioni 10 kujenga km 722 za Sgr badala ya over 6,000 km za Barabara.😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C-JBcW1KB0D/?igsh=cHdra3U0aWo4Mmxi

My Take: Yale Yale ya Djibouti-Ethiopia Sgr train.

Kama mungejenga Barabara saizi tungekuwa tunavuna Uchumi tuu maana hizi complications zingekuwa hazipo.

Kwenye uchumi timing na maamuzi sahihi ndio ishu critical , mwisho wa siku Sgr itakuwa Inachukua kodi Ili kuihudumia, upuuzi.

Wewe kilaza, akili huna na kaa kimya kama huna la kuongea. I pity your bloodline for such a dumb guy.
 
Yaani wewe huwa hojabza maana na ndiomana watu huwa wanakupuuza humu, sijui unatumia nini kwenye kufikiri au akili ndio ulikosa. Sasa hapo kujamba kumeingia aje? And hoja Gani ya msingi uliyoitoa hapo? Infact wewe ni wa kupuuzwa. Idiot
Jibu hoja sio vioja.

Iko wapi economic relevance ya Trilioni 10.5 Kwa km 700 za Sgr?

What do you want to achieve?

Nikipuuzwa na layman wa Uchumi kama wewe ni Afya kwangu ,usije kun drag kwenye akili Yako ya kijinga na kipumbavu.
 
The Dreamliner on the way to Dar
 

Attachments

  • Air Tanzania.jpg
    Air Tanzania.jpg
    51.1 KB · Views: 14
Back
Top Bottom