Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wameanza kutengenezwa..

IMG_20240724_143307.jpg
 
Mbona wasitumie chinese standards? Wame-pick AREMA standards?
Wasichojua Uganda aim yake ni connection na reli ya Tanzania ambayo Burundi na DRC pamoja na Rwanda wanashirikiana na watakuwa na miundombinu inayofanana
 
Wasichojua Uganda aim yake ni connection na reli ya Tanzania ambayo Burundi na DRC pamoja na Rwanda wanashirikiana na watakuwa na miundombinu inayofanana
Acha uongo😂😂🤣.

Ingekuwa aim Yao ni connection na Tz then mbona waanze kujenga SGR Yao from Malaba which is Kenyan border?🤣🤣😂
 
Embu rudi shule kwanza currency kuwa weak haimaanishi economy iko weak.
So juzi vile mlikuwa mnacheka currency ya kenya hukujua kwamba currency haimanishi economy iko weak?🤣🤣😂
 
Tuambie port yenu na brt yenu zinamilikiwa na nani?
Kumbe na wewe ni kichaa kama bomu la machozi. Haya fungua fuvu.
BRT iko hovi
DART mali ya serikali inamiliki miundombinu(barabara vituo,yards)
UDART ni operator inamilikiwa na serikali(85%) na mtu binasi 15%.
Mwarabu,Mkenya au Mmatumbi anaruhusiwa kuja kuendesha mradi wa kubeba abiria awe na uwezo tu. Phase 2 karibu inaanza operations waambie wakenya kama wanaweza waje wachukue njia hio ni ushindani tu.
Kuhusu port of Dar, KALAGHABAO!
 
Back
Top Bottom