Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo inaitwa patriotic ya kindezi sana. Education system yao ndio imewafanya wawe wajinga no 1 hapa duniani.

Just imagin kwa sasa wanaandamana, ukiwauliza kwanini mnaandamana #RUTOMUSTGO. Ni kama Mazombie mzungu atakachowaambia wanafanya
Chanzo cha maandamano yote ni bei ya mkate 🤣🤣🤣
 
Huu mtindo wa msururu wa magari mama kamuiga Magufuli!
Haya mambo mnayakuza na mnayaongea kwa mihemko.

Hebu ngoja sasa tufanye calculation

* President is a head of state anatakiwa kulindwa kwa namna zote. Hili tunakubaliana sote

* Viongozi hawawezi kwenye msafara hawawezi kutembelea IST. Na hili tunakubaliana sote

* Je, Raisi anatakiwa kwenye msafari awe na Magari ya state house mangapi?

NGOJA TUFANYE HIVI: Hayo magari hayakuzidi 80.

1. State House Cars - 6
2. Police Cars - 4
3. Mawaziri - 10
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - 10
5. DED - 6
6. Viongozi wa Dini na NGO - 10
7. Wajumbe wa NEC CCM - 6
8. Wabunge - 10
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - 10
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - 20

Hebu piga hesabu hapo.

Bado sijawaweka maafisa wa Chama na Serikali. Bado sujawaweka waandishi wa habari.

Mzee unakuwa too emotional than using brain. Maria Sarungi anawalisha matango pori.
 
Haya mambo mnayakuza na mnayaongea kwa mihemko.

Hebu ngoja sasa tufanye calculation

* President is a head of state anatakiwa kulindwa kwa namna zote. Hili tunakubaliana sote

* Viongozi hawawezi kwenye msafara hawawezi kutembelea IST. Na hili tunakubaliana sote

* Je, Raisi anatakiwa kwenye msafari awe na Magari ya state house mangapi?

NGOJA TUFANYE HIVI: Hayo magari hayakuzidi 80.

1. State House Cars - 6
2. Police Cars - 4
3. Mawaziri - 10
4. Wakuu wa Mikoa na wa wilaya - 10
5. DED - 6
6. Viongozi wa Dini na NGO - 10
7. Wajumbe wa NEC CCM - 6
8. Wabunge - 10
9. Wakandalasi wa miradi mbalimbali - 10
10. Wadau na wakereketwa wa Chama - 20

Hebu piga hesabu hapo.

Bado sijawaweka maafisa wa Chama na Serikali. Bado sujawaweka waandishi wa habari.

Mzee unakuwa too emotional than using brain. Maria Sarungi anawalisha matango pori.
Mwanzilishi JPM

View: https://youtu.be/CzD-UVf6qX8?si=4s_hZ7kBPWDN3NEM
 
Nimepanda mimi haikutikisika mpaka nafika Dar kutokea Morogoro.
Toka lini continuous welded rail ikaleta mtikisiko wa locomotive inapotembea juu yake!?
Ona hili nyang'au.
Usibishane na mtu ambaye anaongea kitu ambacho hajawahi kukishuhudia toka azaliwe anacha nae, aje kwa ganda la ndizi la EAC
 
Back
Top Bottom