Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

False. Kenya is a world leader in mobile money yet banking increased with introduction of mobile money. Siku hizi sii lazima Mkenya aende Bank. Ukitumiwa doo kwa MPESA unazituma hapo hapo kwa bank account na ukitaka kuzitoa kwa Bank sii lazima uende Bank ama ATM, unazitoa hapo hapo hadi MPESA. MPESA imefanya wengi ambao hawakuwa na Bank account wafungue Bank account. Kitambo walioajiriwa kazi na walio na biashara kubwa pekee ndio walikua na bank account. Siku hizi hata yule jamaa wa kushona viatu ana bank account, ukimtumia pesa kwa MPESA anazituma kwa Bank Account.
Aloo Wakenya washamba sana, yn hizi huduma anazoongelea hapa huyu mshamba sikumbuki hata lini zilianzishwa hapa Tanzania mana ni kitambo sn. Washamba sana nyinyi wakenya.
 
Aloo Wakenya washamba sana, yn hizi huduma anazoongelea hapa huyu mshamba sikumbuki hata lini zilianzishwa hapa Tanzania mana ni kitambo sn. Washamba sana nyinyi wakenya.
Ndo madhara ya kujifungia kwenye slums. 😂😂😂
Mobile money
IMG_6843.jpeg


Bank
IMG_6844.jpeg
 
Hivi huwa mnafuatilia mjadala muelewe kinachoongelewa ama mnaangukia tu na ushindani wa kijinga? Hamuoni aibu RRONDO aliyekuwa anajibiwa amenyamaza ni ninyi bado mnapiga kelele eti 'kwetu pia zipo'?
Hawa nilishaachoka nao. Yani Mimi nimepost kuelezea RRONDO jinsi mobile money ilivyofanya wengi wawe na bank accounts hapa Kenya, wamerespond kama watu kumi hivi kunieleza jinsi pia wao walivyo na hizo services. Hadi mwengine amepiga screenshots. Ni kama uelezee mtu jinsi kuwa na gari kumefanya maisha yako yawe raisi, yeye anajibu kwa fujo eti, 'Hilo gari pia Mimi Niko nalo, usidhani ni wewe pekee uliye na gari.😂😂😂 Inferiority complex ni kitu kibaya sana.😂😂😂
 
Hawa nilishaachoka nao. Yani Mimi nimepost kuelezea RRONDO jinsi mobile money ilivyofanya wengi wawe na bank accounts hapa Kenya, wamerespond kama watu kumi hivi kunieleza jinsi pia wao walivyo na hizo services. Hadi mwengine amepiga screenshots. Ni kama uelezee mtu jinsi kuwa na gari kumefanya maisha yako yawe raising, yeye anajibu kwa fujo eti, 'Hilo gari pia Mimi Niko nalo, usidhani ni wewe pekee uliye na gari.😂😂😂 Inferiority complex ni kitu kibaya sana. 😂😂😂
Shida yako saa zingine huwa unapost maelezo mengi kwa kiingereza na unajua hawa majamaa kiingereza kwao ni kama maji na mafuta.😂😂😂
 
Shida yako saa zingine huwa unapost maelezo mengi kwa kiingereza na unajua hawa majamaa kiingereza kwao ni kama maji na mafuta.😂😂😂
Tambo za kizamani sn hizi dada janerose, wakenya wenzio wanajisikia hata aibu kuongea hivi kwa jinsi tunavyozidi kuwapiga gepu la maendeleo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hawa nilishaachoka nao. Yani Mimi nimepost kuelezea RRONDO jinsi mobile money ilivyofanya wengi wawe na bank accounts hapa Kenya, wamerespond kama watu kumi hivi kunieleza jinsi pia wao walivyo na hizo services. Hadi mwengine amepiga screenshots. Ni kama uelezee mtu jinsi kuwa na gari kumefanya maisha yako yawe raisi, yeye anajibu kwa fujo eti, 'Hilo gari pia Mimi Niko nalo, usidhani ni wewe pekee uliye na gari.😂😂😂 Inferiority complex ni kitu kibaya sana.😂😂😂
Shida yako saa zingine huwa unapost maelezo mengi kwa kiingereza na unajua hawa majamaa kiingereza kwao ni kama maji na mafuta.😂😂😂
Vipi leo hamjaenda kuandamana?
 
Back
Top Bottom