Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah pole sana kwa huyo mama, inauma sana. Lkn tatizo kuna sehemu nmeona huko Kenya mpaka watoto wanatukana serikali matusi mazito mazito aiseee, nchi gani hii kila mtu hana adabu? Na ndiyo maana mabalaa hayaondoki Kenya. Nchi ya kishenzi sijawahi kuona.
Tatizo kuu la Kenya limeanzia kwenye ardhi watu hawana ardhi kabisa wanategemea ku rent houses na kununua chakula na ajira zenyewe hazipo. Unafikiria wataishi vipi lazima akili iruke na ustaarabu ukutoke.

Takwimu za sensa Tz 2022 65% ya watanzania wanamiliki nyumba zao wenyewe na Zanzibar ni 75% halafu ardhi tunamiliki hata uwezo wa kulima mazao ya chakula tunao hii imepunguza sana makali ya maisha huku kwetu.
 
Sema jamaa kaongea ukweli.
Pesa inajulikana ina thamani ila maisha matatizo.😂😂😂😂
Tulitarajia kwa ukubwa wa uchumi wa Kenya basi watoe ruzuku katika mambo mengi ikiwemo mafuta,ila mafuta yapo juu bado.
Hata dawa za TB ziliwashinda Tanzania tukawaletea.
Aiseee hapana.
Their economy is best on paper.
 
Hali ni mbaya andamaneni tuu kwakweli you have my support.
Ila sweetie Rhaenyra Targaryen msimshirikishe asije mtoto mzuri akapata ngeu bure 😁
 
Wacha kumtusi ndugu yetu mtu mzima mlevi, Mobile money na masuala ya kufanya transfer pesa kutoka bank kuja kwa simu or vise versa ni habari ya kitambo sana hapa Tz.. sio habari mpya kama huyo mpumbavu mwenzako anavyodai.
Hivi huwa mnafuatilia mjadala muelewe kinachoongelewa ama mnaangukia tu na ushindani wa kijinga? Hamuoni aibu RRONDO aliyekuwa anajibiwa amenyamaza ni ninyi bado mnapiga kelele eti 'kwetu pia zipo'?
 
Hali ni mbaya andamaneni tuu kwakweli you have my support.
Ila sweetie Rhaenyra Targaryen msimshirikishe asije mtoto mzuri akapata ngeu bure 😁
Za chini ya kapeti hayo maandamano yalipangwa kiumakini sana na ruto mwenyewe ili kudustan ipate sympathetic flan toka eurobond na IMF ndio maana polisi wako fair 80%,jamaa wamekaza kuonea huruma na maandamano sasa hivi yanaelekea kuwa machafuko
 
Back
Top Bottom