Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Hayajui hayo, yani kiufupi sisi huko kwenye masuala ya mobile money wala hawatuwezi kamwe, kwasababu almost every single Tanzanian (except watoto wachanga) anatumia huduma hizo tena kuna mitandao kibao, wao wako hapa kutupigia kelele na Mpesa..Halafu kule kwao ni kama wamekariri mpesa tu. 😂😂😂
Wakati Tanzania kuna,
Tigopesa
T-Pesa
Easy pesa
Halo pesa
Airtel money
Azam pesa