Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Young man, what I ate for lunch today alone can buy your low quality 5-meals-a-day for a whole week. This here is Seafood Risotto that I had for lunch. It is a Japanese-Peruvian cuisine of shrimp, Octopus, squid, cheese and creamed rice cooked with broth. It cost me KES 3250, hiyo ni Tshs. 66,766. I took some pineapple smash before that, cost me another KES 700, that's Tshs. 14380 leading to a total of Tshs. 81,146. For breakfast I had sweet potatoes (4 slices), tea, an egg, a sausage and an orange. For supper I'll have chicken gizzard, pigweed, ugali and two bananas. That's a full balanced diet. Not mere stuffing your face with excess low quality food like it's a flex. Ukiona tunakucheka kwa kujisifia kula tonnes of low quality food usidhani ni utani tu. Tunakuona mshamba sana.
View attachment 3031309
That's cheap frozen foods. Try again.
 
Wewe kweli ni kimbwelu 😂😂😂 mwenzako kasema yeye anakula milo mitano everyday, wew ulivyo mpumbavu umekuja na comeback ya breakfast uliyonunuliwa leo eti unajipiga kifua kwamba the food is too expensive u can even buy him all his 5 meals a day, okay the question is wewe unakula hivyo kila siku.? 🤣🤣🤣 je unajua hiyo milo mitano anakula coodip1 Inamgharimu sh ngapi kila siku.? 😂😂😂 wewe ni hanangwa.
Huyo anakula cheap gmo food mimempuuza tuu.
 
Nope, neither did I say that. Stop reasoning like Shamba boy.
If you bothered to read what I was responding to, you wouldn't ask this question but you're more concerned in responding negatively to a Kenyan than logic. Your friend insinuated that I don't overeat because I can't afford food and and coincidentally, I was having lunch at a cost that could feed him for a week or more. I do actually eat anywhere, including kibandaski (what you guys call mama ntilie) as long as the food is clean and balanced. I can hope in Norfolk hotel and casually have a bite there if I am in that area of town. Tell your countryman that worrying about food is a sign of poverty.
Nyie mnaolalamika Tz hawataki kutuuzia chakula hiyo si kuwa na worry ya kukosa chakula? Halafu jiulize motive iliyojificha kwa Gen Z ni nini kama sio hofu ya kutokula tumeona supermarkets ngapi mmevamia na yule mwamba wa kibera akijipigia msosi wa bunge live on camera 🤣🤣🤣
Mtu mwenye ile picha ya mkunya akikimbia na ugali naomba aweke hapa tafadhali ni hofu tu ya kukosa msosi mtu anajitwisha ugali wa moto.
 
Hawa wanaongea sana ni vile tu watu wanakuwaga wavivu kupga picha.
Kwa hivo main roads mnapiga picha alafu mitaani mnakuwa wavivu? Bradhee, danganyeni wadanganyika. Mitaa yenyewe hata lami hamna sasa mtaweka sidewalks kwa vumbi road? 🤣 🤣
20221124_135741-jpg.2439637
 
Nyie mnaolalamika Tz hawataki kutuuzia chakula hiyo si kuwa na worry ya kukosa chakula? Halafu jiulize motive iliyojificha kwa Gen Z ni nini kama sio hofu ya kutokula tumeona supermarkets ngapi mmevamia na yule mwamba wa kibera akijipigia msosi wa bunge live on camera 🤣🤣🤣
Mtu mwenye ile picha ya mkunya akikimbia na ugali naomba aweke hapa tafadhali ni hofu tu ya kukosa msosi mtu anajitwisha ugali wa moto.
Naona ushaabadilisha mada after kupigwa vya uso. Sijawai ona maishani mwangu Mkenya akilalamika eti Bongolala wamekataa kutuuzia chakula. Ila wabongo kila siku wanalia mbona hatununui kwao chakula. Anyway, endelea kula hiyo milo yako tano ambayo naweza inunua kwa wiki moja na pesa zangu za lunch pekee. 🚮🤣
 
Naona ushaabadilisha mada after kupigwa vya uso. Sijawai ona maishani mwangu Mkenya akilalamika eti Bongolala wamekataa kutuuzia chakula. Ila wabongo kila siku wanalia mbona hatununui kwao chakula. Anyway, endelea kula hiyo milo yako tano ambayo naweza inunua kwa wiki moja na pesa zangu za lunch pekee. 🚮🤣
Anasema seafood ni GMO. Hivi hawa bongolala wanajua maana ya GMO? 😂 😂
 
Back
Top Bottom