Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aren't you the same one who shared a plate of shawarma in some dingy place here?
Screenshot_20240508_150447_TikTok.jpg

Mrembo wa kisumu ndogo slum umekula?
 
Mimi sikusema kwamba naweza kumlisha tear gas week nzima kwa plate moja ya Shawarma usinilishe maneno..🤣🤣🤣
Ni kwa sababu huwezi. Bei ya hiyo shawarma haiwezi lisha mtu one week kama bei ya hiyo Seafood Risotto aliyopost NairobiWalker . Unavyopenda kujionyesha hungekosa kusema kama ungekula chakula cha Tshs. 80k.
 
I was born in Tanga town, I'm now living in Dar es salaam.. unaitambia sea food.? 🤣🤣🤣
Shida sio seafood, shida ni penye ameikula. Palepale alipoikula angeitisha kuku angeuziwa hiyo hiyo Tshs. 80k. Wacha kufikiria kama mbwa. Hapa tunaongelea cost, sio type ya chakula. Hiyo shawarma yako ya Tsha 2000 angeikula hapo pia angetumia zaidi ya Tshs. 50k. Uko na ushamba sana.
 
Unajua shawarma niliikula wapi kwani.? 🤣🤣🤣 do you want me to post the venue.?
Hadi hapo ulipokula panaonekana tu pa ovyo. Mimi ni mtu niliyezoea migahawa ya kifahari usidhani ni kama wewe unayelishwa na demu wako. Najua mgahawa wa kifahari kwa kuangalia tu hata chakula kilivyopangwa kwa sahani alafu utazame lighting ya mgahawa. Tazama hiyo sahani ya NairobiWalker ulinganishe na hii shawarma yako. Hiki kikizidi sana ni mia mbili za Kenya na hata hapo nimekuwa generous.
20240508_133841-jpg.3015417
 
Hadi hapo ulipokula panaonekana tu pa ovyo. Mimi ni mtu niliyezoea migahawa ya kifahari usidhani ni kama wewe unayelishwa na demu wako. Najua mgahawa wa kifahari kwa kuangalia tu hata chakula kilivyopangwa kwa sahani alafu utazame lighting ya mgahawa. Tazama hiyo sahani ya NairobiWalker ulinganishe na hii shawarma yako. Hiki kikizidi sana ni mia mbili za Kenya na hata hapo nimekuwa generous.
20240508_133841-jpg.3015417
🤣🤣🤣 wewe kibwengo, wacha kuweweseka, do you want me to post the venue.?
 
Hadi hapo ulipokula panaonekana tu pa ovyo. Mimi ni mtu niliyezoea migahawa ya kifahari usidhani ni kama wewe unayelishwa na demu wako. Najua mgahawa wa kifahari kwa kuangalia tu hata chakula kilivyopangwa kwa sahani alafu utazame lighting ya mgahawa. Tazama hiyo sahani ya NairobiWalker ulinganishe na hii shawarma yako. Hiki kikizidi sana ni mia mbili za Kenya na hata hapo nimekuwa generous.
20240508_133841-jpg.3015417
Lettuce zimekatwa kienyeji. Sahani ina kivuli ni kama wanatumia taa ya koroboi.😂😂
 
Lettuce zimekatwa kienyeji. Sahani ina kivuli ni kama wanatumia taa ya koroboi.😂😂
Ndio nikamueleza mgahawa wa kifahari unajua kwa lighting. Yani yeye amezoea akitoka mama ntilie aingie zile restaurant za mjini kama Lazarus sasa ameingia luxury. Hawezi ona vitu tunaona. Siku ataingia real luxury atajua tu.
 
Back
Top Bottom