Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nano anakosoa sidewalks Dsm? #BRTphase3
View attachment 3031597View attachment 3031599View attachment 3031604
20240702_131915-jpg.3031606


View attachment 3031612View attachment 3031619View attachment 3031623
Kwa main road pekee. 😂
 
False. Kenya is a world leader in mobile money yet banking increased with introduction of mobile money. Siku hizi sii lazima Mkenya aende Bank. Ukitumiwa doo kwa MPESA unazituma hapo hapo kwa bank account na ukitaka kuzitoa kwa Bank sii lazima uende Bank ama ATM, unazitoa hapo hapo hadi MPESA. MPESA imefanya wengi ambao hawakuwa na Bank account wafungue Bank account. Kitambo walioajiriwa kazi na walio na biashara kubwa pekee ndio walikua na bank account. Siku hizi hata yule jamaa wa kushona viatu ana bank account, ukimtumia pesa kwa MPESA anazituma kwa Bank Account.
We Mzee mbona haya mambo ya zamani sana hapa kwetu, nyie ndio recent successful stories? Aisee mnachekesha sana, I bet humu wengi wenu mnashukuru sana huu uzi umewafungua macho toka gizani hata kama hamsemi, mmegundua mlikuwa mmejifungia kwenye shimo la tewa mkidhani mko Manhattan kumbe mko kwenye shit hole😅😅😅
 
Back
Top Bottom