Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Kundurenda hamna kuwauzia mahindi hao shwaini,hao ni wa kuwauzia unga wa sembeHata kundurenda wakimaliza kuandamana watakuja tuwa uzie mahindi
Kundurenda hamna kuwauzia mahindi hao shwaini,hao ni wa kuwauzia unga wa sembeHata kundurenda wakimaliza kuandamana watakuja tuwa uzie mahindi
Inferiority ya kwio,ebu msiklize mwijaku wa kundustan kamaliza kila kituSasa Mbongolala ametengeneza video ameweka sauti ya mzungu na AI kuilinganisha na ya Kenya alafu ndio mnatupigia kelele. Inaonyesha jinsi mlivyo na inferiority complex dhidi yetu.😂😂
Ebu mwambie huyo coodip1I eat only twice a day ( breakfast and dinner coz it’s healthier for the body) and am more rich than all Bongolalas in this sub forum combined…🤣🤣
It is medically advised mtu uwe unakula after every 3 hours tumbo halipaswi kuwa tupu except pale unapokuwa umelala yes take traditional 3 meals and between each meal a snack is good for your health. Hi milo 3 then nothing in between ndio maana watu wengi wanadumaa kwanza milo yenyewe haina proper nutrients.Kula milo mingi inategemeana na umri, aina ya shughuli unayofanya na kama unafanya mazoezi. Ukiwa na umri chini ya miaka 25, kula hata milo 20 ila ukifika 30 na kuendelea, mwili hauhitaji kula sana, zaidi utauchosha na kuongeza free radicals.
Nadhani labda wangeweka mfumo kana wa check in airport ukisha check in unaingia kwenye secluded area ambayo unakuwa tayari kupanda treni. Au waongeze machines za,automatic check in ukilipia ticket mtandaoni wanakupa code umapokuwa una check in ingiza code kwenye mashine ili itoe boarding pass.Kwan nini kusiwepo App kabisa unalipia huko huko kwa mpesa ukifika station ni kuscan na kuingia? Korea walikuwa wanajifunza nini?
Huyo maskini tuu anatamba kula junkies KFC big mac, double whopper na piza 😁Ebu mwambie huyo coodip1
Hii sikubaliani nayo iliipaswa kuwa nyerere express tuu sasa tutatofautisha vipi hii huduma kati ya nyerere na Samia? Express sio treni mojamoja bali ni aina ya huduma. Huku TRC bado kuna watu washamba sana.
Halafu ukizingatia Meli zote hata za maziwani zimekarabatiwa na kutengenezwa mpya na nyingi kipindi ha Magufuli. Watu wanalishwa ujinga na kwa uzembe wakutofikiria wanaongea vitu vya ajabu.Huo ni uongo. Pantoni zilikuwa zinakarabatiwa. Tena Mv Magogoni ndio iliofanyiwa ukarabati mkubwa kabisa. Mv Kigambonj nayo wakati wa Magufuli ilishakarabatiwa. Mv Kazi ilikuja mpya wakati wa Magu. Kusema pantoni wakati wa Magu zilkuwa hazikarabatiwi ni uongo. Uzembe na wizi ndio uneleta hii shida kivukoni.
Hilo ni jina la treni haziwezi zote kuwa Nyerere express!Hii sikubaliani nayo iliipaswa kuwa nyerere express tuu sasa tutatofautisha vipi hii huduma kati ya nyerere na Samia? Express sio treni mojamoja bali ni aina ya huduma. Huku TRC bado kuna watu washamba sana.
Shida kwa serikali ya ccm,uwa awazingatii kutangaza historic kama hizo thus y hizi kunyavuzi zinatake advantage kuudanganya ulimwengu eti kiswahili kilianzia lamu wakati lamu imekuja kugundulika karne 2 baada ya kugundulika kilwaJina sahihi ni Rhapta, ni mji wa zamani toka karne ya kwanza ulikuwa maeneo ya Kilwa, mafia hadi delta ya Rufiji. Ndio bandari kongwe zaidi katika bara la Afrika kusini mwa jangwa la Sahara... Mji huo ulizama na kupotea.. Mabaki ya mji huo ndio yanafanyiwa utafiti kwa sasa na Prof. Felix Chami wa UDSM.
Mshamba tu wewe, interminient fasting helps improve overall digestive system. Kula kula ovyo kunasababisha low Acidity kwa tumbo ambayo inaleta bacteria infection, Acid Reflux, bloating, Cramps, Gastritis, belching and farting. Eat small meals and sometimes fast to maintain high stomach acidity.It is medically advised mtu uwe unakula after every 3 hours tumbo halipaswi kuwa tupu except pale unapokuwa umelala yes take traditional 3 meals and between each meal a snack is good for your health. Hi milo 3 then nothing in between ndio maana watu wengi wanadumaa kwanza milo yenyewe haina proper nutrients.
Mzee tuanze kubishana mambo ya majina. Tanzania ni civilized Nation. Hatuwezi kuanza kubishana mambo madogo madogo hivi. Haya mambo ya kubishania majina tuwaachie wakenya.Hii sikubaliani nayo iliipaswa kuwa nyerere express tuu sasa tutatofautisha vipi hii huduma kati ya nyerere na Samia? Express sio treni mojamoja bali ni aina ya huduma. Huku TRC bado kuna watu washamba sana.
Mimi sijaona shida ya jina hilo.Hilo ni jina la treni haziwezi zote kuwa Nyerere express!
Elimu yenu tunaijua wacha ku google wewe. 🤣🤣🤣Mshamba tu wewe, interminient fasting helps improve overall digestive system. Kula kula ovyo kunasababisha low Acidity kwa tumbo ambayo inaleta bacteria infection, Acid Reflux, bloating, Cramps, Gastritis, belching and farting. Eat small meals and sometimes fast to maintain high stomach acidity.
Mpaka leo naislum inatumia nguvu za vibatari, hivi Tanzania kuna hata duka linauza kerosene karne hii?
Wana haki zote za kumshusha zakayo
View attachment 3030726
View: https://youtu.be/dN03b3iG7yc?si=K601uCoMBdU4cL2M
Ni mkakati wa westerner kuwavimbisha kichwa na kuponda nchi zinazo jielewa na zisizokubalu kunyonywa. Kama ule ujinga unasikia kuwa North Korea ni masikini.Huyu angekuwa amemwagikiwa na maji pale JKIA, akili yake ingemkaa vizuri.
Hehehe, rain season ilishapita Nairobi bro. Halafu sii yeye pekee amesema haya. Wageni wote kwa hii miji miwili hukariri mambo haya.
Hio elimu nimetoa hata daktari hawezi kukupa kwa sababu hawatilii maanani Nutrition subject shuleni.Elimu yenu tunaijua wacha ku google wewe. 🤣🤣🤣
Unajua Kerosine ni expensive kuliko hata diesel hapa bongo.Kuna siku nilifyeka majani,kipindi cha mvua mvua ikapita karibia wiki,majani ayakauki nikasema niyafosi kuyachoma kwa kerosene,nilitafuta karibia maduka 10 na zaidi sikuyapata hadi ikabidi ninyonye petrol kidogo ndio nikayachoma yale majani