Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii sikubaliani nayo iliipaswa kuwa nyerere express tuu sasa tutatofautisha vipi hii huduma kati ya nyerere na Samia? Express sio treni mojamoja bali ni aina ya huduma. Huku TRC bado kuna watu washamba sana.
Ni washamba kweli, wanachukulia kama ndege vile kila aircraft inakua na jina tofauti
 
Nikiwa mtoto wa shule kidato cha kwanza na cha pili nilisoma masomo haya.. food& nutrition and cloth& textile. Just to let you know.. wewe uli google kima wewe 🤣🤣🤣
Ulisoma nutrition alafu unakula chips na pepsi, unakula procced wheats. I see alot of amateur mistakes katika diet yako. Huna elimu hata ya kindergarten.
 
Back
Top Bottom