Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hilo ni jina la treni haziwezi zote kuwa Nyerere express!
Unajua tunapogawanya huduma za treni kama ordinary train, semi ordinary au express hizi huduma zinapaswa zitambulike kwa jina moja tuu kama ni nyerere express au srengeti class kwa mfano sasa unapokuwa na more than one express trains names inaleta confusion kidogo haya ziko seti 10 hizo zilizobaki tuzipe majina ya nani? Mfugale ama Kadogosa express?
 
It is medically advised mtu uwe unakula after every 3 hours tumbo halipaswi kuwa tupu
Prof. Janabi atapingana na wewe.
except pale unapokuwa umelala yes take traditional 3 meals and between each meal a snack is good for your health. Hi milo 3 then nothing in between ndio maana watu wengi wanadumaa kwanza milo yenyewe haina proper nutrients.
Kula kula kila wakati siyo afya, mwili unahitaji kufanya repair (removing dead/cancerous cells, free radicals, viruses and bacteria) na digestion inazuia processes hizo kufanyika.

Hivi unafikiri ni kwa nini unapoumwa unakosa appetite?
 
Ni washamba kweli, wanachukulia kama ndege vile kila aircraft inakua na jina tofauti
Kila class ya huduma huwa na jina lake sasa flagship service/train hapo TRC kwa upande wa passengers ni nini sasa Samia ama nyerere express au hao wengine watakaukuja baadae?
Wangeadika hata motto ingekuwa afadhali lakini tuachane nayo tuu haya mambo may be they know better.
 
Back
Top Bottom