Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Machinga complex ilala 🇹🇿🇹🇿
20240630_174830.jpg
20240630_174819.jpg
 
Nimeona na nimesoma maelezo yake katika mtandao.
Ni sahihi kabisa,japo najiuliza,kilitokea nini mpaka mji ukazama aisee!?

Hilo suala la kujua mji huo ulipotea vipi ni gumu kujua... Hata maandiko ya kuhusu huo mji hayapo sana... Nadhani huo mji ulizama na kufuta historia kubwa sana ya eneo hilo la Pwani ya kusini... Mengi sana yalipotea hapo. Kwa sababu gani na kwa maslahi ya nani... Hilo ni jambo jingine..

Ni sawa na ishu ya Rufiji Basin...
 
Hilo suala la kujua mji huo ulipotea vipi ni gumu kujua... Hata maandiko ya kuhusu huo mji hayapo sana... Nadhani huo mji ulizama na kufuta historia kubwa sana ya eneo hilo la Pwani ya kusini... Mengi sana yalipotea hapo. Kwa sababu gani na kwa maslahi ya nani... Hilo ni jambo jingine..

Ni sawa na ishu ya Rufiji Basin...
Rufiji basin imekuwaje!?
Maana ndio mara kwanza nasikia kuhusu Rufiji basin.
 
Kwan nini kusiwepo App kabisa unalipia huko huko kwa mpesa ukifika station ni kuscan na kuingia? Korea walikuwa wanajifunza nini?
Yaani kuna vitu ukikaa ukitafakari unashindwa kabisa kuelewa board za mashirika zinafanya kazi gani! Utafikiri ni jambo jipya limezuka jana usiku, kumbe toka 2018 walikua kwenye kujiandaa na uendeshaji 🚮
 
IPO hio system sema watu wengi hawapendi kutumia na sijui kwann
Waweke a certain amount of discount na waifanyie promo ya kutosha tena hapo hapo wawepo vijana kama wale wa kusajili line za mitandao wawe wanafanya awareness campaign na kuwasaidia kuistall app kwenye simu za abiria angalau kwa miezi miwili watapunguza msongamano kwa kiasi kikubwa, najiwazia tu ikiwa mpaka Mwanza itakuaje kwa lile nyomi la abiria asubuhi, TRC wapo hovyo kweli na mturuki kwenye vituo kapuyanga kichizi, tukubali
 
Yaani kuna vitu ukikaa ukitafakari unashindwa kabisa kuelewa board za mashirika zinafanya kazi gani! Utafikiri ni jambo jipya limezuka jana usiku, kumbe toka 2018 walikua kwenye kujiandaa na uendeshaji 🚮
Watu ni wazee wenye miaka 50+ lakin kubuni vitu kusolve kero kubwa hawataki.

Hizo Mwendokasi,treni hata hizo Daladala za kawaida watu hawakupaswa kabisa kushika hela na kulipa cash.
Kweye Daladala watu walipaswa kuonesha message tu ya mpesa ( hii inaokoa muda na pesa kuchakaa ovyo na kukeep Shilling 50 kwenye mzunguko)
Kwenye Mwendokasi au treni watu walipaswa kuscan kwa kadi au simu. Askari tu ndo anawasaidia kuingia kwenye kituo wasioelewa ( kadi zipatikane hata kwenye vibanda vya mpesa karibu) ( Rwanda wana card za TAP and Go)

Kama wameshindwa Vodacom, TIGO na local Banks wachukue hio opportunity kutengeneza apps na card.


Hii ni 2024. Tunapaswa tubadilike. Hapa nchini vijana wapo kibao tu wanaoweza tengeza hio mifumo. Inabidi wawezeshwe kutengeneza small companies za kusimamia hii mifumo. Baadae yanakuwa kuwa makampuni makubwa baadae na hizo ndo startups.

Monopoly inazidi kutengeneza tatizo kubwa la ajira hapa nchini na matumizi ya cash yanalea wizi, rushwa na money loundering
 
Anayedanganywa ni yule anayeukubali uongo kama Wadanganyika. Wakenya ukiwaambia uongo wanakuumbua papo hapo. Hawajali wewe ni Rais ama nani. Huko kwenu ndio mmezoea kudanganywa. Huku hata uwe Rais unaumbuliwa tu. Tazama interview ujionee.


View: https://www.youtube.com/watch?v=sBivyw499GU

This is a very rare event in Africa….. imaginé a local journalist telling Kagame or Museveni .. “hatch tag you must go”…or “ you have bloods in your hands”
he/she won’t live to see another day…. Kenya is a mature democracy regardless of any skirmish…
 
Poverty is thinking overeating is wealth. A human just needs three quality meals in a day. By quality I don't mean the ration size, I mean the meals should constitute all the important nutrients your body needs. Only sick people (especially those with diabetes) are allowed to eat more but smaller portions in a day to prevent dips in energy. BTW, financially stable people, food constitutes a very small percentage of their budget. If your mind revolves around food then you're poor.
I eat only twice a day ( breakfast and dinner coz it’s healthier for the body) and am more rich than all Bongolalas in this sub forum combined…🤣🤣
 
Waweke a certain amount of discount na waifanyie promo ya kutosha tena hapo hapo wawepo vijana kama wale wa kusajili line za mitandao wawe wanafanya awareness campaign na kuwasaidia kuistall app kwenye simu za abiria angalau kwa miezi miwili watapunguza msongamano kwa kiasi kikubwa, najiwazia tu ikiwa mpaka Mwanza itakuaje kwa lile nyomi la abiria asubuhi, TRC wapo hovyo kweli na mturuki kwenye vituo kapuyanga kichizi, tukubali
Mm naona kwenye vituo kajenga vzr shida ipo kwetu Sisi kwenye mashirika
 
Hapo kwenye pedestrian walkways kutudanganya.
Nairobi ni only Uptown area in
a walkways nzr kwingine kote ni majanga kuanzia upperhill, kilimani, westlands na the like. Yaan ni hakuna kabisa bila kusahau open sewage.


Watu watasema Nairobi iko developed kwa sababu modern Nairobi iko concetrated sehemu moja ( hizo modern buildings ziko eneo moja) so ni rahisi kusema Nairobi is modern.
Unlike dar.. pale kuna modern glassbuildings 5 ukivuka barabara kuna historical buildings 10 za 1950 nk...zenye archtecture inspired by India, arab ,swahili etc...

Nairobi mji ni mdogo na majengo yote yamerundikwa sehemu moja ila in reality Dar ina modern buildings nyingi zaidi kuzidi Nairobi sema ziko scattered.
A few points...
Umesema Nairobi it's only uptown ndio Iko na sidewalks. Well, I don't know what you meant by uptown but I want to believe that you meant to say downtown/cbd. Nairobi has no place called uptown.

These are Upper Hill sidewalks
images - 2024-07-01T150421.580.jpeg
images - 2024-07-01T150446.420.jpeg
images - 2024-07-01T150533.486.jpeg


In Kileleshwa...
images - 2024-07-01T151423.249.jpeg
images - 2024-07-01T151512.385.jpeg
images - 2024-07-01T150921.947.jpeg
FeYMUHxWIAAAS9j.jpg
FeYMUHxWIAAAS9j.jpg
FeYMSolXwAE7AHX.jpg


In Gigiri...
images - 2024-07-01T151119.106.jpeg


Undisclosed location...
IMG20231206134051.jpg


Alafu umesema modern Nairobi iko concentrated sehemu moja? Which one exactly? Is it cbd, Upper Hill, Lavington, Kileleshwa, Westlands or Kilimani? Or is it South C? Or could it be Eastleigh?
Or even Parklands?

You see, Dar es Salaam ni Posta, Kariakoo (which is still part of cbd) na Upanga. Ukiondoa hizo sehemu mbili hakuna Dar. Hata Ile kijitonyama mnayotaja humu ni vijighorofa vitano kando ya barabara Moja. Pembezoni ni uswazi.

Take a look at Eastleigh below uniambie inawezalinganishwa na wapi hapo Dar kwa ujenzi ukiondoa Posta na upanga
images - 2024-05-07T213516.428.jpeg
images - 2024-05-07T213140.585.jpeg
images - 2024-05-07T212852.256.jpeg
images - 2024-02-06T200815.686.jpeg
images - 2024-02-06T201034.056.jpeg
 

Attachments

  • images - 2024-05-07T212852.256.jpeg
    images - 2024-05-07T212852.256.jpeg
    48.1 KB · Views: 8
A few points...
Umesema Nairobi it's only uptown ndio Iko na sidewalks. Well, I don't know what you meant by uptown but I want to believe that you meant to say downtown/cbd. Nairobi has no place called uptown.

These are Upper Hill sidewalksView attachment 3030601View attachment 3030602View attachment 3030603

In Kileleshwa...
View attachment 3030605View attachment 3030606View attachment 3030607View attachment 3030609View attachment 3030610View attachment 3030611

In Gigiri...View attachment 3030620

Undisclosed location...
View attachment 3030622

Alafu umesema modern Nairobi iko concentrated sehemu moja? Which one exactly? Is it cbd, Upper Hill, Lavington, Kileleshwa, Westlands or Kilimani? Or is it South C? Or could it be Eastleigh?
Or even Parklands?

You see, Dar es Salaam ni Posta, Kariakoo (which is still part of cbd) na Upanga. Ukiondoa hizo sehemu mbili hakuna Dar. Hata Ile kijitonyama mnayotaja humu ni vijighorofa vitano kando ya barabara Moja. Pembezoni ni uswazi.

Take a look at Eastleigh below uniambie inawezalinganishwa na wapi hapo Dar kwa ujenzi ukiondoa Posta na upangaView attachment 3030626View attachment 3030627View attachment 3030630View attachment 3030631View attachment 3030632
Huku tulishatoka. Sasa tuletee projects
 
sasa mimi nikufundishe what is modern and what is not modern! wacha upumbavu! Kiufupi hamna train unasubiri masaa mawili kituoni dunia nzima! Wanapaswa waweke facilities nyingi za kukata tiketi (automats) na ku-screen abiria kabla ya ku-board hapo kituoni Dar, Moro, Dom na vituo vyote vikubwa! Pia na ku-modernize online booking pia watengeze apps kupunguza msongamano ni kama hawakujifunza jinsi operations zinafanyika huko walipoenda kufanya benchmarking Korea!
Hivi wewe umerukwa na akili? Hizi jazba zinatoka wapi?

Nimekuuliza kuhusu SGR, yaani reli ya upana wa 4 ft 8+1⁄2. Hiyo "modern" inaingia wapi?
 
Back
Top Bottom