Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo ni gesti house tuu ambayo.pembeni Kuna local mgahawa,yaani hotel wanauza msosi 6,000? Acha ushamba na umaskini 😆😆
Nilijua hiyo bill ndio itawapea morale ya kuniquote😂😂😂, zile za 4,000 were actually scaring most of you away😂😂.

Hapo nilienda kukunywa tu milkshake nikingoja mtu. That bill ni ya milkshake glass moja.
 
Mbona umenyenyekea tena?😂😂😂

Nikuongeze zingine ama niache tu? So mtu akiringia watu smocha ya 110 sio ushamba lakini nikiletea transactions zangu having meals of 4,840 then inakuwa ushamba? Kama iko hivo then I’m happy to be mshamba😂😂😂.

Acha nikupe ya bei ya chini maybe unaezapata tena nguvu ya kupingana na mimi 😂 😂

Anyway hii ndio ya mwisho, nimeacha kupost hizi screenshots Sasa😂

View attachment 3016431
Ndivyo walivyo. But I think it shows they hold us to higher standards than they do themselves which means they feel we are better than them because even in arguments, they're okay with their people engaging in stupid arguments but are quick to call a Kenyan mshamba when he does a half of that.
 
Mimi ndio nimekuja na hizo screenshots na sio Nairobi walker, hapo ni kigoma na kigoma nimji mbovu Sana nimeshuhudia tanzania.
Mimi nimemfuatilia tangia anaingia kenya 8 months ago, Sababu yakumshtusha ni kwamba tangia aondoke Uganda amepitia sehemu maskini za Burundi na western Tanzania along the border na ndio Mara ya kwanza amepata mji.
Karne hii unasherekea AC, wakati CBD ya mji wa 2.4 million people unakaa hivi. Muna maisha magumu😅View attachment 3015654View attachment 3015656
0.2% tarmacked a real 5th world country with chinese ego
 
Rice zenye tunaimport from Tanzania ni za wafungwa. All high quality rice we consume in Kenya are produced locally and Pakistan.
Mchele wa Tanzania ndio top rice Kunyaland unaliwa na vibopa tu, wengine ni mwendo wa githeri na nguna

Screenshot_20240613-161301.jpg
Screenshot_20240613-161235.jpg
Screenshot_20240613-161210.jpg



View: https://vm.tiktok.com/ZMrN1e1j1/
 
Mimi ndio nimekuja na hizo screenshots na sio Nairobi walker, hapo ni kigoma na kigoma nimji mbovu Sana nimeshuhudia tanzania.
Mimi nimemfuatilia tangia anaingia kenya 8 months ago, Sababu yakumshtusha ni kwamba tangia aondoke Uganda amepitia sehemu maskini za Burundi na western Tanzania along the border na ndio Mara ya kwanza amepata mji.
Karne hii unasherekea AC, wakati CBD ya mji wa 2.4 million people unakaa hivi. Muna maisha magumu😅View attachment 3015654View attachment 3015656
😂😂😂
 
Back
Top Bottom