Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii sio coincidence lazima ni government's system sabotage haiwezekani mauzo yetu ya mchele Kunyaland yaporomoke hivyo kutoka 65k metric tones 2023 mpaka 16k metric tones 2024 lazima kuna sera mbovu za mipakani Kunyaland wameimpose kudhoofisha ease of access lakini walivyo wajinga hawajui tuna other 7 neighbors na biashara yetu kubwa ni SADC wala sio EAC
20240613_162542.jpg

20240613_162544.jpg
 
Hii sio coincidence lazima ni government's system sabotage haiwezekani mauzo yetu ya mchele Kunyaland yaporomoke hivyo kutoka 65k metric tones 2023 mpaka 16k metric tones 2024 lazima kuna sera mbovu za mipakani Kunyaland wameimpose kudhoofisha ease of access lakini walivyo wajinga hawajui tuna other 7 neighbors na biashara yetu kubwa ni SADC wala sio EAC
View attachment 3016493
View attachment 3016492
Huwa tunawaambia mipaka ikifungwa ni nyinyi mtalia mnasema ooh, mnatulisha. Ona Sasa. Nafurahi sahii Namanga malori ya kutoka kwenu yamepungua na yatakuja kwisha.😂😂
 
Huwa tunawaambia mipaka ikifungwa ni nyinyi mtalia mnasema ooh, mnatulisha. Ona Sasa. Nafurahi sahii Namanga malori ya kutoka kwenu yamepungua na yatakuja kwisha.😂😂
Angalia hii chart vizuri mmetoka nyie nchi kibao za ulaya zimeingia na Sudan imeingia ni ninyi mnaingia gharama kubwa kutafuta dollar ya kuagiza mbali na sisi mkifikiri mnatukomoa kumbe mnajiumiza pia misaada ya vyakula imemeza gap 😁😁😁
20240613_162544.jpg
 
Ndivyo walivyo. But I think it shows they hold us to higher standards than they do themselves which means they feel we are better than them because even in arguments, they're okay with their people engaging in stupid arguments but are quick to call a Kenyan mshamba when he does a half of that.
Yani hawa watu ni wajinga kweli, mwenzao akipost food ya Ksh 110 wanashangilia lakini Mkenya akicounter na with a payment statement wanaanza kukuita mshamba😂😂😂.

Hao wanapost foods za 200 maximum alafu wanasema vile wanakula food expensive😂
 
Tangu aitwe kima na Rhaenyra Targaryen siku hizi kima limekuwa tusi lake. Hajui tunakumbuka ni nickname aliyopewa yeye.😂
Huyo jamaa maisha imemlemea. Ukiona mtu anajigamba kununua viatu vya punch, kukula rice and also kula smocha just know that jamaa ni maskini wa kutupwa.

I told them sitawaipost food pictures here but instead I’ll just post the payments of those meals.

Hapa JF kuna mafala maskini kweli kweli.
Sama boy 255
The best 007
Venus Star
 
Hii sio coincidence lazima ni government's system sabotage haiwezekani mauzo yetu ya mchele Kunyaland yaporomoke hivyo kutoka 65k metric tones 2023 mpaka 16k metric tones 2024 lazima kuna sera mbovu za mipakani Kunyaland wameimpose kudhoofisha ease of access lakini walivyo wajinga hawajui tuna other 7 neighbors na biashara yetu kubwa ni SADC wala sio EAC
View attachment 3016493
View attachment 3016492
This is because Kenyans now prefer Rice grown in Kenya and Asian rice.
 
Hii sio coincidence lazima ni government's system sabotage haiwezekani mauzo yetu ya mchele Kunyaland yaporomoke hivyo kutoka 65k metric tones 2023 mpaka 16k metric tones 2024 lazima kuna sera mbovu za mipakani Kunyaland wameimpose kudhoofisha ease of access lakini walivyo wajinga hawajui tuna other 7 neighbors na biashara yetu kubwa ni SADC wala sio EAC
View attachment 3016493
View attachment 3016492
Sasa Kama mna soko lingine umekuja kumlilia nani hapa. Wauzieni hao SADC huo mpunga mchafu na usiwe na hasira tukinunua kwingine. Meanwhile, trade surplus continues to widen...
 
Ndivyo walivyo. But I think it shows they hold us to higher standards than they do themselves which means they feel we are better than them because even in arguments, they're okay with their people engaging in stupid arguments but are quick to call a Kenyan mshamba when he does a half of that.
Mimi huwa nashangaa sana na hawa watu. From now henceforth nikiitwa mshamba ntakuwa nafurahi kweli kweli😂.

Sasa wameanza kusema ati hizi screenshots I’m posting here ati nimeedit.😂

Another investment I made in December, hao kazi yao ni kununua fake shoes.
Screenshot_20240613-172559_1.jpg
 
Back
Top Bottom