The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Yale mabehewa aloo ❤️❤️😍😍🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sasa wewe watchman ni maisha gani unaongelea?Wewe ni mpumbavu tu, maisha yenyewe ndiyo kwanza umeanza juzi baada ya kusota shule ukiwa mtu mzima, wenzio tulianza kitambo kabla yako.
Watchman I'm not your mate. Are you aware that I can feed your entire family for years?Wakenya bhn wana midomo kweli kweli lkn wengi wao humu wana maisha duni sana, mnuka mavi juzi tu hapa alikuwa ana download pesa mtandaoni alafu anatuma humu na maneno kibao, leo kameanza kusema kanasubiri dividend na vipicha visivyo na muhuri 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watchman I'm not your mate. Are you aware that I can feed your entire family for years?
Watchman I'm not your mate. Are you aware that I can feed your entire family for years?
We jamaa background yako inaonekana ni mbovu sana, kitanda ni kitu cha kuongelea humu kweli 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Sasa wewe watchman ni maisha gani unaongelea?
Nyinyi ndio wale wa kulala kwa kibanda.
Kabla ya hapo zilikuwa zikiitwa units walipoona JNIA ina-add terminal ya Tatu wakabadili kuita terminals!Wewe kima uwanja wa ndege haueezi kutajwa kuwa na terminals mbili au tatu kama hizo majengo sio separate, otherwise ukitaka iwe hivyo ni vichumba ti vilivyopewa majina kwamba ni terminals kama mnavyofanya hapo taifa la kipumbavu. 🤣🤣🤣 there's only single terminal in JKIA
That’s 2016, when I was in campus. Huyo ndio level yako. Saa hii I’m far better than you. I can afford to finance your life.Mtu mwenyewe sasa anayesema hivyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3016191
Venye unaongea hivi it clearly shows wewe pia huna Kitanda.We jamaa background yako inaonekana ni mbovu sana, kitanda ni kitu cha kuongelea humu kweli 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe ni fala tu mmoja, juzi tu hapa mwaka jana uli download pesa mtandaoni ukasema ni zako mpaka pale nilipokuumbua, pia ni mshamba mmoja hv yn unaongelea kitanda humu, mbwa koko wewe.That’s 2016, when I was in campus. Huyo ndio level yako. Saa hii I’m far better than you. I can afford to finance your life.
JNIA pamoja na hizo terminal tatu is handling the same number of passengers as Mombasa.😂😂😂Mnapingana juu ya terminal wakati airport yenyewe inahandle more than double airport zenu zote combined. Ujinga ingine hata kwa maombi haiwezi isha.
Watchman wewe ni maskini nyamaza. Kati yako na kibanda gang nani maskini zaidi? Kuja nikunulilie lunch.Wewe ni fala tu mmoja, juzi tu hapa mwaka jana uli download pesa mtandaoni ukasema ni zako mpaka pale nilipokuumbua, pia ni mshamba mmoja hv yn unaongelea kitanda humu, mbwa koko wewe.
Umeona huniwezi sasa umeanza kujidanganaya na past tense? Nimekuambia kuja nikununulie lunch.