Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiona mbongo akisema hii quote unajua ni mburukenge ya Tandale ambayo haijawai kanyaga mguu nje ya Bongo. Zote zikiingia hii thread huwa zinakariri hii sentensi. Ni kama wanafundishwa shuleni vile. 🤣 🤣 🤣
We unapaona Kenya ni mbali kama mbinguni? nimekaa hadi na waluhya wanakula ugali kilo 1 mtu mmoja, wanatafuna na mizizi flani inaitwa mukombero wanakula hio mizizi wanasema inaongeza libido.

Mtoto ananililia anasema wanaume wa Kenya ni washenzi kama washenzi wengine.
 
We unapaona Kenya ni mbali kama mbinguni? nimekaa hadi na waluhya wanakula ugali kilo 1 mtu mmoja, wanatafuna na mizizi flani inaitwa mukombero wanakula hio mizizi wanasema inaongeza libido.

Mtoto ananililia anasema wanaume wa Kenya ni washenzi kama washenzi wengine.
Hiyo ni inferiority complex inaongea. 🤣 🤣
 
Kuna black American Fulani alizunguka East Africa sana. Maoni yake yalikuwa kuwa Mwanza is bigger but Kisumu is more developed. Bongolala humu hazikufurahia kabisa.😂😂😂
Kwa usemi wako hao Waamerika una waabudu sana ndio maana munawauzia nchi kwa misaada ya ndege mitumba
 
Tuko kwa kigoma, huko kwa tourism nifate baadae Nikuonyeshe vile tumewapiga.
Umekubali kuwa wewe ni muongo? Mzee kigoma huwezi kuigusa.

Tunaanza kuongelea kigoma kama ifuatavyo:-

Lake Tanganyika

1718183117411.png


1718183145768.png


1718183172040.png


1718183191724.png
 
We unapaona Kenya ni mbali kama mbinguni? nimekaa hadi na waluhya wanakula ugali kilo 1 mtu mmoja, wanatafuna na mizizi flani inaitwa mukombero wanakula hio mizizi wanasema inaongeza libido.

Mtoto ananililia anasema wanaume wa Kenya ni washenzi kama washenzi wengine.
Endelea kupiga panapouma, ndiyo slogan yetu humu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tuanze na idadi;
According to the 2019 census, marsabit county has a population of 459,785

Kigoma Region has a total population of 2,470,967
Nimeona nije nimalize mzizi wa fitina sio kelele mingi tu. Kigoma 👇
Screenshot_20240612_120047_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114217_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114204_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114106_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114112_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114050_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114031_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_113952_YouTube.jpg
Screenshot_20240612_114025_YouTube.jpg
kiglma at night 👇
View: https://youtu.be/2vaXEs9lw8o?si=K_jkj2-8yfezROuT. 🤣🤣 ukileta hiyo maypole sijui ikaipiku kigoma nafunga hii account now for good.. hii kigoma ni 1600km away from our ex capital Dar es Salaam. Niko pale nangoja comeback yako.
 
Nimeona nije nimalize mzizi wa fitina sio kelele mingi tu. Kigoma 👇View attachment 3015320View attachment 3015303View attachment 3015290View attachment 3015293View attachment 3015295View attachment 3015296View attachment 3015299View attachment 3015301View attachment 3015302kiglma at night 👇
View: https://youtu.be/2vaXEs9lw8o?si=K_jkj2-8yfezROuT. 🤣🤣 ukileta hiyo maypole sijui ikaipiku kigoma nafunga hii account now for good.. hii kigoma ni 1600km away from our ex capital Dar es Salaam. Niko pale nangoja comeback yako.

Hutawaona tena. 🤣 🤣 🤣 🤣 Wamejifukia kwenye mashimo
 
Back
Top Bottom