The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hebu angalieni budget ya mishahara na budget ya maendeleo ndio utaona hawa watu kweli wamechanganyikiwa 🤣🤣🤣🤣🤣
View: https://x.com/citizentvkenya/status/1801197802023764119?t=YWasNwq2jBdXgSvOUE-tiA&s=19
Haya majitu yanaliwa kama manguruwe aiseee, utayasikia yakijisifu bajeti kubwa kumbe yote inaenda kulipa mishahara.