Terminal moja tuu bhana hiyo ni designation yenu ya jua kali kama kupaka rangi BRT 🤣🤣🤣JKIA has two terminals, hivi kwamba hujui Istanbul airport ikona one terminal divided into several concourses. Kila siku wabongo munatuonyesha tu vile nyi ni washamba. 🤣 🤣 🤣 Yani wewe unadhani airports kua na multiple terminals is a flex kumbe ni ushamba tu. 🤣🤣🤣🤣