Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo haniwezi. Kwanza aache kulishwa na bibi na atafute pesa yake, haezikuwa na kichwa kubwa, pua kubwa na maskio makubwa lakini bado analishwa na msichana.😂😂😂

Again I think nilikuambia mambo yetu na Sama boy 255 uachane nayo kabisa. Mimi na yeye tunaishi in our respective countries while wewe ni mkimbizi wa Yemen, umekimbia umaskini wa Yemen ukajiangusha kwa ufukara wa Tanzania 😂😂😂.

Do you even know where your ancestors were buried?😂😂
Haya sikia hii ng'ombe yenye komwe 🤣🤣🤣

Wewe samaboy humuingii hata robo chizi wewe, unajipendekeza kwa Sama boy Kwan uliskia Sama boy anatumia soda ya kopo au?? Au umezoea ule mchezo wa chomoa Ni jambe 😃😃😃😃😃

Sama boy 255 VP unaruka nae huyu ??🤣🤣
MTU mwenyewe hata kuoga hajui
Huyu taa ya check engine na airbag inawaka muda wote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


1708410304070.png
 
Dar mpaka dodoma nauli ni Ksh (5000-6000) kwa treni za mchongoko. Wakati nawaambia Tsh 31000 kwa EMU ni ghali wakapinga. Tutaelewana tu 😃
IMG_20240612_200834.jpg
 
Haya sikia hii ng'ombe yenye komwe 🤣🤣🤣

Wewe samaboy humuingii hata robo chizi wewe, unajipendekeza kwa Sama boy Kwan uliskia Sama boy anatumia soda ya kopo au?? Au umezoea ule mchezo wa chomoa Ni jambe 😃😃😃😃😃

Sama boy 255 VP unaruka nae huyu ??🤣🤣
MTU mwenyewe hata kuoga hajui Huyu taa ya check engine na airbag inawaka muda wote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


View attachment 3015786
Sasa mwenye bado analalq kwa floor nisumbuane naye kwa nini? Jamaa hata kununua kitanda ni shida kwake😂😂😂
 
Haya sikia hii ng'ombe yenye komwe 🤣🤣🤣

Wewe samaboy humuingii hata robo chizi wewe, unajipendekeza kwa Sama boy Kwan uliskia Sama boy anatumia soda ya kopo au?? Au umezoea ule mchezo wa chomoa Ni jambe 😃😃😃😃😃

Sama boy 255 VP unaruka nae huyu ??🤣🤣
MTU mwenyewe hata kuoga hajui Huyu taa ya check engine na airbag inawaka muda wote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


View attachment 3015786
Hapo kajamaa kanajiona kajitu ka kwanza kuvaa viatu vya roller skate Africa nzima😎😎😂
 
Dar mpaka dodoma nauli ni Ksh (5000-6000) kwa treni za mchongoko. Wakati nawaambia Tsh 31000 kwa EMU ni ghali wakapinga. Tutaelewana tu 😃
View attachment 3015791
Nauli zipo hivi:
1. Normal Class ni Tsh 31,000 treni inasimama kila kituo.

2. Business Class zile zenye ghorofa Zinatoka Dar zinasimama Morogoro kisha zinasimama Dododoma Tsh 70,000


3. EMU zipo na Class mbili (Business and Royal) Business Tsh 100,000, Royal Tsh 120,000. Zinatoka Dar zinasimama Morogoro na Zinasimama Dodoma. Zinachukua Only 3hrs.

Tanzania is real a middle Income Country Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
There is a reason why you will forever remain poor because You have a poverty mind.


While you spend 500 bob that you borrowed on a fake shoes, me I spend 113,000 in May alone in an investment channel to generate a monthly interest.
View attachment 3015777
I also spend another 80,000 to increase my shares on Tower Sacco and another chunk I I bought shares in another company.

Next week I'll be getting dividend
View attachment 3015793

On 28th I'll be attending a GM meeting discuss on interest and dividend payment.

View attachment 3015775
🤣🤣🤣 Acha kujianika sana, nilikuchokoza kidogo tu, umepata mooto.!! Haya pole
 
Back
Top Bottom